Binafsi nakuona kama una jazba. Walioitwa wezi ni wale waliokutwa na mali hizo, sasa ulitaka waitweje. Kwa nini waliondoka na mali za marehemu. Hivi ajali inapotokea, ukafika na ukaondoka na baadhi ya mali za marehemu, wewe uitweje. Nililivyomwelewa Kamanda huyo alitangaza hao waliokutwa na mali hizo kama wezi na siyo wananchi wote wa Tanga.....
Katalina kidogo naona hujampata Mtoaji mada!
Mimi navyomuelewa ni kwamba yeye anakelwa sana hata mimi pia,kwa police kusema eti walivyouweka mtego na wezi walivyorudisha mali za marehem sharo gafla wakasitukia kuwa ni mtego wakatokomea kusikojulikana.
Kitu ambacho mtoaji maada analalamikia hata mimi,hainiingii akilini kuwa police walishindwa kumkamata.
Police wanafanya tufikiri ni kusudi tu kuwa wao walipanga tu vitu vipatikane na kazi ya kuwatia mbaroni wezi kwa lengo la kukomesha vitendo vya unyama wa aina hiyo halikuwahusu.