Eti we dare to speak openly nani kasema huwa naona taarifa nyingine huwa mnakurupuka tu based on Upinzani hata kama yatafanyika mambo ya msingi basi humu wanaponda
Usikimbie hoja !
Nadhani sasa umeelewa kuwa Hans Pope ni mdau wa Biashara ya usafirishaji wa Mchanga wa Madini, ulikurupuka kukaririri kuwa Ikiwa Hans anafanya Biashara ya usafirishaji wa Malori hawezi kufanya na issue zingine!
Kajifunze ujue taratibu za kufanya ammendments za Mikataba sio kwny Mikutano ya hadhara!
Kama Mkataba uliruhusu Mchanga kusafirishwa nje zipo taratibu za kubadili Hali hiyo, sio kukurupuka kwa kigezo cha Maslahi ya Nchi.
Tushalipa gharama za namna hiyo ya Mikurupuko ya Watu Kama Nyie kwny Mikataba ya Umeme