MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Kumekuwa na kelele sana juu ya anguko la bei ya mahindi kote nchini. Kiasi ambacho imebidi CCM iingilie kati. Nimewaona wabunge wote hasa wa CCM wakionyesha kutorodhishwa kwao jinsi NFRA inavyonunua mahindi toka kwa wakulima.
Ongezekeo hili la wingi wa mahindi ni mwitikio wa wakulima kwani wakati wa CORONA wakulima waliambiwa walime kwa wingi kwani baadhi ya mataifa yanaweza kukumbwa na baa la njaa kwani kujifungia kwao ndani wengi wao walishindwa kulima kwa wakati na kwa ufasaha.
Kwa kuwa CCM ni chama na Wakulima na wafanyakazi hakiwezi kujisikia furaha kwa kuwaona wakulima wakipata taabu.
Je, ni kutokana na ukaribu huo wa CCM na wakulima serikali inaweza undwa upya?
Ni jambo la kusubiri kuona mambo yataendaje ikizingatiwa kuwa mikoa inayolima mahindi kwa wingi kama Ruvuma, Iringa, Njombe na Katavi ndiko waliko wana CCM wasiobadilika hivyo wana mchango sana kwa CCM kuendelea kuwa madarakani.
Ongezekeo hili la wingi wa mahindi ni mwitikio wa wakulima kwani wakati wa CORONA wakulima waliambiwa walime kwa wingi kwani baadhi ya mataifa yanaweza kukumbwa na baa la njaa kwani kujifungia kwao ndani wengi wao walishindwa kulima kwa wakati na kwa ufasaha.
Kwa kuwa CCM ni chama na Wakulima na wafanyakazi hakiwezi kujisikia furaha kwa kuwaona wakulima wakipata taabu.
Je, ni kutokana na ukaribu huo wa CCM na wakulima serikali inaweza undwa upya?
Ni jambo la kusubiri kuona mambo yataendaje ikizingatiwa kuwa mikoa inayolima mahindi kwa wingi kama Ruvuma, Iringa, Njombe na Katavi ndiko waliko wana CCM wasiobadilika hivyo wana mchango sana kwa CCM kuendelea kuwa madarakani.