HahahaHicho kifupisho...............!!! cha ''OMKJ'' Aaah kiboko...............!!!
Ndo nnSAKOMA?
Unaandika kama unakatika mauno kitu akieleweki wala akivutii msomaji azidi kusoma upuuzii mtupuNimekuwa nasema kila siku hapa kwamba mali nyingi zinazopita ufukweni pale hazilipi kifuta jasho kama inavyopaswa,
Magari hayo ya Bwana Edigaran Masako wa ofisi ya makusanyo kifuta Jasho (OMKJ) samora , anajulikana hivyo kwasababu kashastaafu kitambo lakini, kuna na mashine nyingi zimepita maeneo yale kwa kukikwepa kifuta jasho,
Nimefanya kazi Ufukweni hapo kabla sijaipa kisogo Tanzania tokea mwaka 2003 hadi 2011 msisumbuke sana , yote hiyo mnaangaika kisa mmeimaliza meno jamii forums na kupandikiza mange vimambi wengi , Huwez amini kina mzee wa kudadavua, mchambuzi, BAK au bakili muluzi siku hizi ni kama wamebanwa hawana cha kusema kwa sababu ya uoga , Hayo ndo mambo ambayo Jf ilipaswa kuweka wazi, Muda huu mada ni nani anapaswa kutangulia kufika kati ya mama Samia au Makonda, mada ni flash ya gwajima anayo makonda , hatuwezi kufika kwa fikra za namna hii
Usiku mwema unajua Vodka ya Urusi imefanya nitoboe siri hii weekend hii inaleta mzuka
Britanicca
Wwapi mkuuHaya Mkuu, kama vipi funguka basi...mbona na wewe unakuwa muoga muoga babu...karibu tugonge BALIMI LAGER.