Sakata la mafuta/sukari, kushindwa sera za CCM hasa soko huria wanafanya ujamaa wa Monopoly kuwapa tenda makada wa CCM

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Tusizime moto kwa presha au kutafuta umaarufu kwa matatizo yaliyotengenezwa na serikali yenyewe.

Shida ni mfumo wa monopoly wa tenda kupeana kwa kujuana na uchama ndio umetufikisha hapa.

Monopoly ya kuwafanya wachache ndio waagizaji na wasambazaji wa bidhaa adimu kama hizo zinazoathiri taifa.

Kama kungekuwa na soko huria hata bei zingepungua shida ndani ya hizo tenda kuwa wakubwa ndani ya chama na chama ndio mtaji wake ulipo hawataki raia wa kawaida kuwa na nafasi sawa ya kuingiza bidhaa kwa mambo feki eti kulinda soko la ndani.

Soko lipi wanalolinda la kuwaumiza wananchi kwa vei za ajabu.

Inakuwaje mzigo unatoka Malalesia au brazil na kuapanda meli na kodi juu unakuwa na bei nafuuu kuliko bidhaa ya kigoma na singida au ya mtibwa na kilombero?

Hii nchi ishawashinda hawa mabwana.

Kipindu kile walisaka sukari na makamera walijuja na nini kipya je bei ilishuka toka 3000 -5000 kuja 1600 iliyokuwepo?

Hata haya mafuta hayatashuka bei.

Sera mbovu za ccm za kuwamilikisha wachache dhamana ndio chanzo cha matatizo yote
 
Mmmh umechokoza nyukii ngoja nikaite jeshi letu LA green guard tukushushue ushushuke...;);)
 
Jambo jema ni kuwa,utakufa ukiiombea mabaya CCM na ajabu ni pale utapokuwa ukioza na CCM itaendelea kudunda duniani!
CCM haijawahi kuathiliwa na wenye roho mbaya km yako na unapoteza wakati!
 
Jambo jema ni kuwa,utakufa ukiiombea mabaya CCM na ajabu ni pale utapokuwa ukioza na CCM itaendelea kudunda duniani!
CCM haijawahi kuathiliwa na wenye roho mbaya km yako na unapoteza wakati!
Hivyo ndio hoja ya kuhusu Sukari inavyojibiwa ? Embu muwe mnaweka ushabiki wa vyama pembeni na kuangalia uhalisia wa maisha ya Mtanzani, hivi huoni mtu kama wewe unazalilisha watu wote ndani ya chama chako kwa kuandika upuuzi ? Hivi kweli wewe kama ni Mtanzania hujaona mlipuko wa Bei ya Sukari uliletwa baada tu ya kujidai kuanza figisu za kulinda viwanda vya ndani ? Hujaweza kutambua mlipuko wa bei unamuathiri mtanzania haswa mwenye hali ya chini? Umeshindwa kutambua kuwa serikali hii ndio iliyo sababisha hayo? Ni kweli hata kama ndio mnajifanya wote ni vituko au Majiwe msioelewa basi mtumie hata akili za kichwani na sio hizo za mnapo kalia. Punga vu kabisa.
 
Noma sana. Viwanda vya ndani havitaki kuwekeza kwenye teknolojia mpya ambayo ni ya bei ya chini sababu wanajua serikali inawalinda kwenye soko. Sukari ya Brazil ni bei poa sababu wamewekeza sana kwenye teknolojia kuanzia shambani hadi kiwandani.

Zamani east Germany walikuwa na kiwanda cha magari. Serikalo ilikilinda sana, wananchi walolazimika kununua huko magari hivyo kilikuwa na soko la uhakika. kwa kuona hilo hakikuona umuhimu wa kuongeza Teknolojia wala ubunifu wowote.Baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin walishangaa viwanda vya Ujerumani magharibi vikp mbali kiteknolojia. Kikafa kibudu. Hizi Sera za kulindalinda huwa ni hatari sana. Tutafute sera ambayo itafaidisha wazalishaji wa ndani lakini haita wabwetesha au kuwaumiza wananchi.
 
Noma sana. Viwanda vya ndani havitaki kuwekeza kwenye teknolojia mpya ambayo ni ya bei ya chini sababu wanajua serikali inawalinda kwenye soko. Sukari ya Brazil ni bei poa sababu wamewekeza sana kwenye teknolojia kuanzia shambani hadi kiwandani.

Zamani east Germany walikuwa na kiwanda cha magari. Serikalo ilikilinda sana, wananchi walolazimika kununua huko magari hivyo kilikuwa na soko la uhakika. kwa kuona hilo hakikuona umuhimu wa kuongeza Teknolojia wala ubunifu wowote.Baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin walishangaa viwanda vya Ujerumani magharibi vikp mbali kiteknolojia. Kikafa kibudu. Hizi Sera za kulindalinda huwa ni hatari sana. Tutafute sera ambayo itafaidisha wazalishaji wa ndani lakini haita wabwetesha au kuwaumiza wananchi.
Ndio ukweli huo
 
Namshukuru Mungu nipo mpakani chumvi sukari mafuta yote naagiza kutoka kenya bei cheee story za mafuta kupanda nazisikia redion tu
 
Bidhaa muhimu za Jamii..Sukari, mafuta ya kula, gesi ya kupikia na mafuta taa


Serikali inaona ndio njia nafuu ya kukusanya kodi nyingi na kusahau madini na gesi


hii nchi haina rasili mali za kusaidia watanzania? gesi, madini


Makinikia ikala kifo cha mende


10% mikataba CCM wakala cha juu na kuuza nchi, sasa hivi CCM inakamua wananchi kupitia bidhaa muhimu


Hii kodi kwenye sukari ni zaidi ya ufisadi ugaidi na upumbavu
 
Tusizime moto kwa presha au kutafuta umaarufu kwa matatizo yaliyotengenezwa na serikali yenyewe.

Shida ni mfumo wa monopoly wa tenda kupeana kwa kujuana na uchama ndio umetufikisha hapa.

Monopoly ya kuwafanya wachache ndio waagizaji na wasambazaji wa bidhaa adimu kama hizo zinazoathiri taifa.

Kama kungekuwa na soko huria hata bei zingepungua shida ndani ya hizo tenda kuwa wakubwa ndani ya chama na chama ndio mtaji wake ulipo hawataki raia wa kawaida kuwa na nafasi sawa ya kuingiza bidhaa kwa mambo feki eti kulinda soko la ndani.

Soko lipi wanalolinda la kuwaumiza wananchi kwa vei za ajabu.

Inakuwaje mzigo unatoka Malalesia au brazil na kuapanda meli na kodi juu unakuwa na bei nafuuu kuliko bidhaa ya kigoma na singida au ya mtibwa na kilombero?

Hii nchi ishawashinda hawa mabwana.

Kipindu kile walisaka sukari na makamera walijuja na nini kipya je bei ilishuka toka 3000 -5000 kuja 1600 iliyokuwepo?

Hata haya mafuta hayatashuka bei.

Sera mbovu za ccm za kuwamilikisha wachache dhamana ndio chanzo cha matatizo yote
Uliomba kibali cha kuingiza mafuta au sukari hapa nchini ukanywimwa?
 
Noma sana. Viwanda vya ndani havitaki kuwekeza kwenye teknolojia mpya ambayo ni ya bei ya chini sababu wanajua serikali inawalinda kwenye soko. Sukari ya Brazil ni bei poa sababu wamewekeza sana kwenye teknolojia kuanzia shambani hadi kiwandani.

Zamani east Germany walikuwa na kiwanda cha magari. Serikalo ilikilinda sana, wananchi walolazimika kununua huko magari hivyo kilikuwa na soko la uhakika. kwa kuona hilo hakikuona umuhimu wa kuongeza Teknolojia wala ubunifu wowote.Baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin walishangaa viwanda vya Ujerumani magharibi vikp mbali kiteknolojia. Kikafa kibudu. Hizi Sera za kulindalinda huwa ni hatari sana. Tutafute sera ambayo itafaidisha wazalishaji wa ndani lakini haita wabwetesha au kuwaumiza wananchi.
Kiwanda cha magari aina gani kama sio udaku?
 
Back
Top Bottom