Sakata la Madini: Tundu Lissu ataka J Kikwete ashitakiwe haraka sana

Lissu amekua mropokaji sana,mwanasheria aliesoma sheria anaeifahamu katiba yetu vizuri hawezi ongea upuuzi wa aina yake

wewe ndiye mropokaji na hujui unachokiongea! sheria ikisema haibadilishwi? Kwa maoni yako unamaanisha kwa kuwa pia sheria inawaruhusu hawa wezi Wa madini kufanya wanayoyafanya basi tuwaache wafanye na tusirekebishe vifungu! poor you
 
Anapenya hadi kwenye Tundu la sindano eti?.

Naunga mkono hoja.Rais wa awamu ya tatu na ya nne ya uongozi wanapaswa kuwajibishwa kwa kuturudisha nyuma kimaendeleo.Hili suala Jenerali Ulimwengu alishalizungumzia sana ila alionekana mshamba sana.

Ipo haja ya kubadili Katiba kwakuwa ndiyo inachangia mianya mingi ya haya Makosa.
Safi sana !
 
wewe ndiye mropokaji na hujui unachokiongea! sheria ikisema haibadilishwi? Kwa maoni yako unamaanisha kwa kuwa pia sheria inawaruhusu hawa wezi Wa madini kufanya wanayoyafanya basi tuwaache wafanye na tusirekebishe vifungu! poor you

Hao ni vitu maalum -muonee huruma tu
 
Ukweli ni kwamba hakuna kati ya hao vigogo watakaofunguliwa mashitaka.

Si Kikwete...si Lowassa...si Mkapa.

Kilichopo hapa ni kelele za kisiasa tu.
Na huu ndiyo ukweli mtupu.
Japo imeleta mwanzo wa mijadala ili angalau tuwe makini. Uthubutu huo bado siyo mbaya unapaswa kuungwa mkono huku kiuhalisia tukianza afresh. Mambo ya miaka 17 iliyopita ni too late,kwa maoni yangu.
 
Hapo lazima mh Ndugai amtafutie kosa ili asimamishwe kuhudhuria vikao.Halafu akija uswazi Mkulu amshughulikie!

Wakati Chenge anadunda mtaani huku akiendelea kuongoza vikao vya Bunge!!Only in Tanzania where the line between law makers and law breakers is almost invisible.
kumbe na wafu pia wanawakilishwa!..utani
 
Tundu Lissu wakati akichangia bajeti amesema Rais mstaafu awamu ya nne Jakaya Kikwete ashitakiwe sababu ndo alisaini Leseni ya Bulyanhulu

Tundu Lissu asema Rais Kikwete naye anapaswa kuwajibishwa kwani ndiye aliyesaini leseni ya mgodi wa Bulyanhulu akiwa waziri.
Tundu sasa anatuchanganya, ripoti inazungumzia mikataba ya kuanzia 1998 sheria zilipochezewa sidhani kama JK alikuwa waziri was Madini wakati wa Mkapa
 
Lissu:kutokana na riport ya jana ya mchnga kikwete ndiye aliyesain mkataba akiwa waziri, lkn ukiangalia katka watu waliorodheshwa jana kikwete hayumo sasa hanaponaje wakati hana kinga ya urais???......
 
Masuala yote hupita Cabinet kwahiyo haya yalipita chini ya Mawaziri Wakuu wawili Lowassa na Sumaye mkitaka hivyo msiba utatandikwa mahema nyumba zote mbili
 
19473eab466ffb49054199a26b327391.jpg
 
Ni ngumu kumshitaki former president kwa makosa aliyofanya kabla hajawa president. As much as Magufuli ni jasiri, he won't dare to cross that line. Kuna leo na kesho, afterall, alishaampa kumlinda Kikwete.
 
Back
Top Bottom