Sakata la madini: CCM kama chama hakina kosa

Na akina Lowasa walikuwa chama gani Wakati wa mikataba hiyo? Jibu swali nyumbu!
Afungiwe jiwe na kutoswa baharini pamoja na wabunge wote waliosema ndiyoooooo, pamoja na baraza zima la mawaziri na Mkapa na Kikwete wakiwemo
tapatalk_1495899698120.png
 
Nyie mliowapokea baada ya kuhakikisha wanang'olewa hadi uwaziri kwa taarifa zenu za list of shame na ule waraka wa Mnyika na wenzake bungeni 2008, mbona hamkuwakamata na mmewapa uongozi wa juu, Wakati wa bunge lile, 2008 (sijui kama ulikuwa umemaliza shule) chadema ndio ilipigana sana na kudai wajiuzuru n.k, ccm ikaona hawafai kupata madaraka tena, nyie mmewapa nyadhifa za juu hadi kugombea urais badala ya kuwakamata!;

Machadema are bunch of criminals.
Njooni mumchukue Lowassa, Sumaye muwapeleke mahakamani na wauliwe kwa ushetani huu

Wawe pamoja na wa sema ndiyoooooo ambao walipitisha sheria mbovu na ya kishetani na marais wa wakati huu mchanga unapita kuanzia Mkapa hadi Kikwete

Pia usisahau Pinda na wakuu wote wa Wilaya na mkoa ambapo mchanga ulipita
 
Yaani mleta mada wewe na Bashite hamna utofauti...
Kuku aliyetuletea mayai viza tunamjua..
Ni ubashite uliopindukia kulaumu mayai..! Tukubaliane tu kuku wetu hafai..!
 
Dah kama ccm haiusiki basi na kabila haliusiki kwani kabila ndo lilisaini huyo mikataba acha ukabila
Sio tu kabila hata mtu mwenyewe hahusiki maana iliyosaini mkataba ni kalamu.
No by the way hata kalamu haihusiki maana iliyosaini mkataba ni wino.

No hata wino hauhusiki bali aliyetengeneza wino ndo kasababisha.

Hivi ndivyo mleta mada anahitaji tuamini
 
Nadhani wewe ndiye utumbo tena ule wa nguruwe ambao ukilazimisha kuula ni lazima unapata minyoo isiyopona. Unaweza je kutenganisha hicho chama chako na BMW na kj2?How can you? Ameapa kuwalinda kwa nguvu zake zote tena kuliko anavyomlinda bash it. Tafuta gia nyingine ndugu hapo umechemsha
 
Nadhani wewe ndiye utumbo tena ule wa nguruwe ambao ukilazimisha kuula ni lazima unapata minyoo isiyopona. Unaweza je kutenganisha hicho chama chako na BMW na kj2?How can you? Ameapa kuwalinda kwa nguvu zake zote tena kuliko anavyomlinda bash it. Tafuta gia nyingine ndugu hapo umechemsha
Hahahhaaa matusi dah!, doze imekuingia haswa. Soma mara ya pili utaelewa. Ukiambiwa ukawakamate wahusika utamkamata nani??, huyo anaeitwa CCM utamtoa wapi??, msipoteza target, wezi tunaishi nao majumbani mwetu alafu tunafukuza nembo ya taifa.

Badilika Muraa!!
 
Hahahaaa matusi ya nini tena??, tulia tu tunakazi kweli kuwalinda wagonjwa kama wewe.
Katika malengo niliyoyang'amua kwenye mwandiko wako ni pamoja na kutaka kutenganisha CCM na uhalifu wa madini. Unapoandika chama hakihusiki sababu hakipumui na wala huwezi kukiona kwa macho hadi useme ni hiki au kile paleee...ujue kabisa unajifuta mdomo kwa mchanga wakati tumekuona unadokoa nyama kwenye chungu mchana kweupee!
Hivi ukianza kujiuliza:Ili chama cha siasa kiitwe chama kiwe na muunganiko wa vitu au mambo gani? Hapo ni lazima kuwe na watu, lengo (muongozo /katiba, ofisi na vitendea kazi. Hapo ni kwa ufupi. Kinapokosekana kimoja kati ya hivyo kutakuwa na uwalakini wa chama tajwa.
Unapotaka kuwaepusha, kuwaengua au kutowahusanisha CCM na madhila yaliyoipata Tanzania (tunazungumzia madini na mikataba yake) ni kujipiga chenga mwenyewe!
Mikataba walisaini /kuingia wao wakiwa ndiyo wenye mamlaka (jumlisha na watendaji serikalini) sasa utawatoaje katika makosa yao wenyewe waliyoyaumba kwa mikono yao? Unataka tulumbane na ofisi, vitendea kazi na katiba yao na watu hasa waliyotumia ofisi, vitendea kazi na kwa kuendana na katiba yao wasibebe lawama? Tafakari na usipotoshe iliyo kweli.
 
Kapiga kwa karamagi kaona ni mnyonge,akaja akapiga kwa MAMVI kwavile kaona yuko upinzani naona akawa anawaza je arushe jiwe na waliokula ndama wenyewe kaona du hata kama Ana fake ID watamfukunyua tu akaanza kumalizia kwa kuandika madudu madudu. yani heading ya post haiendani na content... ( nimeogopa ban ningekushushia dude LA mi2c hapa)
 
Habarini wanaJF.

Naomba nianze kwa kutoa pongezi kwa mheshiwa rais John Pombe Magufuli pomoja na mama Samia (Makamu wa rais), na waziri mkuu Mh.Khassim Majaliwa kwa kasi na maamuzi na maamuzi yao juu ya sakata la mchanga.

Hakika nimevutiwa na "combination" yao ya utatu usiotikisika. Mara nyingi Mh.Magufuli anapofanya maamuzi magumu basi utamsikia akisema "nimekubaliana na wenzangu"na tumeamua................ hii inaonyesha wazi kwamba "they are all sailing on the same boat". Maadui wamejaribu kuwatenganisha ili wampige baba vizuri lakina wameshindwa . Walaaniwe!

Katika suala la mchanga nimewasikia wanasiasa wanaotumikia matumbo yao wakiilaumu CCM kuwa ndio chanzo cha matatizo yote haya. La hasha!

Pia wamesikaka wengine wakimdhihaki Mh. JPM kwamba anafanya siasa kwa sababu alikwepo kwenye chama wakati yote haya yanafanyika na hivyo alitakiwa kuchukua hatua. Hapa watoa tuhuma ndio wanafanya siasa, wanaogopa kuzidiwa kete.

Mh. Rais kwa busara kubwa kabisa ameunda tume mbili mmoja ikiwa ni ya wanageojia na watalaam wa chemia na nyingine ikiwa ni ya wanasheria na wachumi. Bravooooooo!, Alijua kila kitu na zaidi ya maneno ya "the blind". Kamati ya pili watatoa muongozo wa what next kisheria na kiuchumi. Kama Lissu "The blind" angekuwa mzalendo basi angeenda kutoa maoni yake kwenye tume ya pili ya mh.rais au angeomba kujiunga na tume kwa maslahi ya nchi yake na jamii yake kwa ujumla.

Kwa makusudi kaamua kujiunga na yule adui wa nchi.

Naomba labda niwafumbue macho kidogo hawa vipofu wa maono. Mh. JPM hakuwahi kuwa waziri wa nishati na madini katika kipindi chote cha uongozi kama kumbukumbu zangu ziko sahihi amewakuwa waziri wa ujenzi, waziri wa uvuvi nk. Na katika wizara alizopitoa alivunja rekodi kwa kufanya mabadiliko makubwa na ya kushangaza. Alipokuwa uvuvi hata samaki wa nyumba ya mungu walisikia uwepo wake wakaanza kuelea juu ya maji wakijisikia wako salama dhidi ya wavuvi haramu.


Mara nyingi alikuwa akikwazwa na mabosi wake kwa kupindisha sheria (kubumbuka sakata la malori ya mizigo). Na kwa kipindi hiki wakina Lissu "the blind" alikuwa anasema Magufuli anatembea na barua ya kujiuzulu lengo la kumdhoofisha JK.

Chama kama chama hakina uhai wa kibinadamu, hakiongei, hakipumui, hakisain chochote, hakijui kusoma wala kuandika, hakijawahi kusafiri kwenda nje kusain mikataba na hakina makuu.

Chama hakikuwahi kuwatumu watu kusain mikataba ya madini, wala kusimamia zoezi lenyewe kwa wakati wowote ule kwa hiyo hakiistahili kulaumiwa kwa njia yoyote ile.

Waliosain mikataba na kufanya maamuzi mabaya ya madini ni ndugu zetu, makabila yetu, ni jirani zetu na ni marafiki zetu kwa njia moja au nyingine na sio CCM. Tuwanyooshee vidole kwa uhusiano wetu wetu tulionayo na wezi hawa.

Ifike mahali kila aliesain mkataba mbovu na abebe msalaba wake yeye na ndugu zake. Kama Karamagi alisain mkataba wa ovyo basi wahaya wote waanze kwa kumlaumu ndugu yao kwa kuwachafulia jina na kuwafanya waonekane wezi mbele ya jamiii.

Na kama Lowasa alihusika kwa njia yoyote ile kwenye kusain mkataba wowote mbovu wa richond basi abebe msalaba wake na wamaasai wote waanze kwa kumnyoshea kidole mwenzao kwa tabia ziligharimu nchi na zinaendelea kutugharimu mpaka leo.

Kumekuwa na tabaia ya watu kufanya maamuzi kwa kutangulia matumbo yao mbele. Wanapokula hela hizo hela haramu ni familia zao ndizo zinafurahia ila linapokuja lawama basi zinarushwa kwenye chama utafikiri chama nacho kina watoto au familia.. Mkome!!!


Rais na timu yake wameamua kurekebisha makosa yaliofanywa na ndugu zenu ili nyie mbaki salama lakini bado hao hao wezi wameamua kutumia mawakala wao kukwamisha mabadiliko haya. Tuwalaani kwa nguvu zote!!, Tuwambie sasa basi!

Tuungane kwa pamoja kupambana na wezi hawa wa fikra na sponsors wao!!


Ahsanteni kwa kuisoma na kuielewa
huna mpya mzeee nduli mkubwa wa taifa hili ni dude liitwalo ccm mungu alitokomeze baharini amina .miaka 55 ya.utawala wao waTanzania hawana walilopata zaidi ya wizi, ujambazi,ukame, tetemeko, utapia mlo,rushwa, mauwaji ,njaa,utapeli,mafuriko,kipindupindu,ni majanga tu
 
Hivi wewe kwa akili yako kama ya Kuku, unadhani zile tume alizounda Rais Magufuli zitatoa ripoti tofauti na anachokita?
Halafu unasema CCM haikuhusika, kwani hao waliotia saini walikuwa mawaziri na wabunge wa chama gani? Waikuwa anatekeleza ilani ya chama gani kama siyo CCM? C
hukuna ugojwa mbaya duniani kama uccm
 
Hata mimi ninakuunga mkono kwa sauti ya juu. Haya mambo ya vyama tuyawekeni pembeni tudili na wahalifu kama anavyofanya Magufuli.
Wakati akitumbua haangalii chama. Hata ninavyoona sasa, mibaka uchumi ya Ccm kayavuruga na huenda akayamaliza na chama kusafishika.
Tukianza kuweka u- chama kwenye wizi basi kama taifa kwa umoja wetu, sote tunahusika, maana uanachama wa vyama vya kwenye brief case ni rahisi sana mtu kuhama hasah anaponyimwa kiti cha kuendeleza wizi wake na imekuwa kamchanganyikeni. Wa ccm ndiyo haohao wa chadema, hawapaki hata mikorogo kubadili umbo, sura zao ni zilezile tunawafahamu.
Leo wapo ccm kesho wapo cdm. Tusemeje sasa?
Wapi turushe rungu letu kupiga? Ninadhani ni kwa nafsi halifu binafsi na si kulaumu jumuia.
mzee ccm wote ni wahalifu pamoja na system yao
 
hukuna ugojwa mbaya duniani kama uccm
Kwa fikra kama hizi hatufika hata tupewa miaka 1000. Hivi maji yakiwa machafu kwenye glasi utamwaga maji au unapaua glasi??,

Jibu unalo!
 
Habarini wanaJF.

Naomba nianze kwa kutoa pongezi kwa mheshiwa rais John Pombe Magufuli pomoja na mama Samia (Makamu wa rais), na waziri mkuu Mh.Khassim Majaliwa kwa kasi na maamuzi na maamuzi yao juu ya sakata la mchanga.

Hakika nimevutiwa na "combination" yao ya utatu usiotikisika. Mara nyingi Mh.Magufuli anapofanya maamuzi magumu basi utamsikia akisema "nimekubaliana na wenzangu"na tumeamua................ hii inaonyesha wazi kwamba "they are all sailing on the same boat". Maadui wamejaribu kuwatenganisha ili wampige baba vizuri lakina wameshindwa . Walaaniwe!

Katika suala la mchanga nimewasikia wanasiasa wanaotumikia matumbo yao wakiilaumu CCM kuwa ndio chanzo cha matatizo yote haya. La hasha!

Pia wamesikaka wengine wakimdhihaki Mh. JPM kwamba anafanya siasa kwa sababu alikwepo kwenye chama wakati yote haya yanafanyika na hivyo alitakiwa kuchukua hatua. Hapa watoa tuhuma ndio wanafanya siasa, wanaogopa kuzidiwa kete.

Mh. Rais kwa busara kubwa kabisa ameunda tume mbili mmoja ikiwa ni ya wanageojia na watalaam wa chemia na nyingine ikiwa ni ya wanasheria na wachumi. Bravooooooo!, Alijua kila kitu na zaidi ya maneno ya "the blind". Kamati ya pili watatoa muongozo wa what next kisheria na kiuchumi. Kama Lissu "The blind" angekuwa mzalendo basi angeenda kutoa maoni yake kwenye tume ya pili ya mh.rais au angeomba kujiunga na tume kwa maslahi ya nchi yake na jamii yake kwa ujumla.

Kwa makusudi kaamua kujiunga na yule adui wa nchi.

Naomba labda niwafumbue macho kidogo hawa vipofu wa maono. Mh. JPM hakuwahi kuwa waziri wa nishati na madini katika kipindi chote cha uongozi kama kumbukumbu zangu ziko sahihi amewakuwa waziri wa ujenzi, waziri wa uvuvi nk. Na katika wizara alizopitoa alivunja rekodi kwa kufanya mabadiliko makubwa na ya kushangaza. Alipokuwa uvuvi hata samaki wa nyumba ya mungu walisikia uwepo wake wakaanza kuelea juu ya maji wakijisikia wako salama dhidi ya wavuvi haramu.


Mara nyingi alikuwa akikwazwa na mabosi wake kwa kupindisha sheria (kubumbuka sakata la malori ya mizigo). Na kwa kipindi hiki wakina Lissu "the blind" alikuwa anasema Magufuli anatembea na barua ya kujiuzulu lengo la kumdhoofisha JK.

Chama kama chama hakina uhai wa kibinadamu, hakiongei, hakipumui, hakisain chochote, hakijui kusoma wala kuandika, hakijawahi kusafiri kwenda nje kusain mikataba na hakina makuu.

Chama hakikuwahi kuwatumu watu kusain mikataba ya madini, wala kusimamia zoezi lenyewe kwa wakati wowote ule kwa hiyo hakiistahili kulaumiwa kwa njia yoyote ile.

Waliosain mikataba na kufanya maamuzi mabaya ya madini ni ndugu zetu, makabila yetu, ni jirani zetu na ni marafiki zetu kwa njia moja au nyingine na sio CCM. Tuwanyooshee vidole kwa uhusiano wetu wetu tulionayo na wezi hawa.

Ifike mahali kila aliesain mkataba mbovu na abebe msalaba wake yeye na ndugu zake. Kama Karamagi alisain mkataba wa ovyo basi wahaya wote waanze kwa kumlaumu ndugu yao kwa kuwachafulia jina na kuwafanya waonekane wezi mbele ya jamiii.

Na kama Lowasa alihusika kwa njia yoyote ile kwenye kusain mkataba wowote mbovu wa richond basi abebe msalaba wake na wamaasai wote waanze kwa kumnyoshea kidole mwenzao kwa tabia ziligharimu nchi na zinaendelea kutugharimu mpaka leo.

Kumekuwa na tabaia ya watu kufanya maamuzi kwa kutangulia matumbo yao mbele. Wanapokula hela hizo hela haramu ni familia zao ndizo zinafurahia ila linapokuja lawama basi zinarushwa kwenye chama utafikiri chama nacho kina watoto au familia.. Mkome!!!


Rais na timu yake wameamua kurekebisha makosa yaliofanywa na ndugu zenu ili nyie mbaki salama lakini bado hao hao wezi wameamua kutumia mawakala wao kukwamisha mabadiliko haya. Tuwalaani kwa nguvu zote!!, Tuwambie sasa basi!

Tuungane kwa pamoja kupambana na wezi hawa wa fikra na sponsors wao!!


Ahsanteni kwa kuisoma na kuielewa
KAKA UNAJARIBU KUTETEA WAUZAJI WA NCHI UNATETEA KWELI???????LAANA KUBWA SANA HIII........NI MATOPE KAMA SIO AKILI HIII....
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom