King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,625
- 68,546
And then what??
mimi ni mwanasheria wa kujitegemea based in South Africa, nimefatilia mjadala wa kifo cha Kanumba hapa JF na kwenye mitandao mbalimbali, na watu wengi wameonekana kumtupia mzigo LULU kama ndio chanzo, in short amekuwa ndio scapegoat, so yeyote mwenye contanct za familia au ndugu ya kina lulu na kama wako tayari,wanaweza kuniPM! AM ready to help this little lady
Niwieni radhi wana JF. Nakiri kuwa sifuatiliagi sana vibweka vya mastaa wa bongo but this one is a matter of public interest. Naomba anayemjua huyo Lulu atumwagie jamvini wasifu wake (na picha if possible) na uhusiano wake na Hayati Kanumba.
Nawasilisha.
Prodo umeelew vizuri sana ndio maana umejua wapi nimekose so shut up! Soma comment thn sepa.
Niwieni radhi wana JF. Nakiri kuwa sifuatiliagi sana vibweka vya mastaa wa bongo but this one is a matter of public interest. Naomba anayemjua huyo Lulu atumwagie jamvini wasifu wake (na picha if possible) na uhusiano wake na Hayati Kanumba.
Nawasilisha.
mimi ni mwanasheria wa kujitegemea based in South Africa, nimefatilia mjadala wa kifo cha Kanumba hapa JF na kwenye mitandao mbalimbali, na watu wengi wameonekana kumtupia mzigo LULU kama ndio chanzo, in short amekuwa ndio scapegoat, so yeyote mwenye contanct za familia au ndugu ya kina lulu na kama wako tayari,wanaweza kuniPM! AM ready to help this little lady
ataachiwa hiyo siyo murder ni mansloughter( ACTUS REUS IMEFANYIKA BILA MENSREA)
Kwa english yangu ndogo nilidhani scapegoat ni yule anae pelekwa mbele
kwa kuficha kundi/sababu kubwa zaidi ambalo liko nyuma.
Hili neno limetumika sawa hapa kweli? naomba mnifafanulie plz.
Siyo lazima ujaze server for unnecessary thread, fuatilia thread za kifo cha Kanumba utayapata yote hayo, hili linahitaji busara ndogo tu kulielewa, toka uchaguzi wa Arumeru server ya JF imeelemewa sasa na wewe unajaza thread ambayo haina mashiko!!