EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
ya ununuzi huo ktk account ya mtu?.
2. Nataka kuuliza hivi kweli UDA ipo ktk soko la DSE na kama haipo hawa simon walipata wapi wazo la kwamba UDA iinauza hisa zake na kwa kupitia gazeti gani la serikali.. Na hata kama ikiwa kweli ununuzi wa hisa unafanyika vipi kwa mnunuzi wa hisa ktk shirika ambalo lipo DSE. Unanunua shares kwa kupitia account ya Idd Simba kweli?.. hii kweli inaingia akilini mwenu jamani..
Hapa kuna jambo limefanyika na kwa sababu jipu limepasuka na wananchi tumelijua hili mbele ya kile kilichotaka kutokea. Kuna mchezo mchafu sana unafanyika hapa na harufu ya rushwa inaendelea kujionyesha kwani binafsi naamini kabisa kwamba Simon group walitoa fedha hizo kama hongo RUSHWA ( Hearsay and circumstantial) ili tender yao ya ununuzi wa UDA ipite, sasa ilipokuja gundulika njama nzima za Uuzaji wa UDA kila mtu anaruka na Simon group wanashindwa kuzi account milioni 285 (just under Usd 200,000) ambazo walitoa kama rushwa ktk ununuzi wa UDA..Haiwezekani 285m/- kuwa sehemu ya malipo ya ununuzi wa mali zote za UDA ikiwa leo kiwanja cha nyumba ya vyumba sita Kinondoni au Migomigo kinauzwa kwa bei hiyo hiyo..
Mkuu paragraph yako ya kwanza inajicontradikti na ya pli. Suggestion kwamba walitoa rushwa ili tenda yao ipite ni sawa na kukubali kuwa serikali ilitangaza tenda na watu zaidi ya mmoja walituma mambi, so Simon Group wakatoa rushwa ili yao ipite. I don't think that is the case. Hili suala lipo so straight forward hakuna hata haja ya kuja na conspiracy theories.