James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,340
Tushaagiza drum mpya...andaa masikio yako....
Injili lazima isongr mbele
Injili lazima isongr mbele
Sisi kwenye mtaa wetu huu upuuzi hatutaki , watu wasali kwa staha tunawakaribisha , lakini wajasilia kanisa , wapiga kelele zisizo na kichwa wala miguu hakuna ndugu .Tushaagiza drum mpya...andaa masikio yako....
Injili lazima isongr mbele
Wewe unasumbuka na misukule ulioifuga ndani kwako. Sasa maombi yanatesa misukule yako ndani. Mara uite watu wa Hilo kanisa wapuuzi aisaidii. Hapo Mcha Mungu wa kweli yeyote akija awe Mkristo au Mwislamu akiwa anaomba lazima utamchukia sababu ya kusumbua misukule yako ndani.Haujauguliwa , haujaugua wewe mwenyewe halafu ukumbane kadhia ya muziki wa walokole na mahubiri ya sauti kubwa sana ndio utajua ninachokizungumza hapa .
Unaita watu wapuuzi. toa misukule ndani kwako.Sisi kwenye mtaa wetu huu upuuzi hatutaki , watu wasali kwa staha tunawakaribisha , lakini wajasilia kanisa , wapiga kelele zisizo na kichwa wala miguu hakuna ndugu .
We ni Mpuuzi hakuna kanisa linapiga kelele masaa 24. Hiyo misukule ulioiweka ndani ndiyo ikisikia maombi inakutesa.Wewe ndio mpuuzi na mjinga sana sheria zipo na zinatakiwa kufuatwa , kuwa mlokole sio lazima uwe mpumbavu wa akili ? Kuna adhana inayozidi dakika tano ? Acha ujinga , andika vitu logic hivi kila mtu akipiga kelele kubwa sana masaa 24 nchi hii itakuwa na amani ? Tumia akili hata za mbuzi kuvukia barabara . Watu tuna wagonjwa weweunashangilia ujinga .
Wanaweka cd,ukiwa mbali utadhani wapo wengi,wanaweka cd wanaenda kula,kazi kwenuHizo Kelele za usiku na mchana ina maana hata wenye kanisa huwa hawalali?
Yapo,hasa ijumaa,ni usiku kuchaWe ni Mpuuzi hakuna kanisa linapiga kelele masaa 24. Hiyo misukule ulioiweka ndani ndiyo ikisikia maombi inakutesa.
Usiku mpaka asubuhi haiwezi kuwa masaa 24. Na wanaanza saa 3 au 4 mpaka saa 11alfajiri.Yapo,hasa ijumaa,ni usiku kucha
Usiite watumishi wa Mungu kuwa wahuni, Bwana wa majeshi atakushughulikia!Kanisa hatarishi kwa amani ya mkoa wa Tabora , kanisa la Bethel Ali maarufu kanisa la maturubai likiongozwa na genge la wahuni .
Tafuta hela tu utaishi kweny nyumba ya ukoo mpaka lini?kanisa haliwez kufungwa na mganga wa kienyeji hata ck moja..sisi tunaendelea kuchap injil kama kawa..Huyo Kigogo aliyepewa rushwa kazi kwake ajitwike dhamana kwa lolote litakalotokea period .
Utapigaje kelele usiku kucha bna!!Usiku mpaka asubuhi haiwezi kuwa masaa 24. Na wanaanza saa 3 au 4 mpaka saa 11alfajiri.
Sababu ya sauti kuwa kubwa si ndio hio, pangekuwa pamejengwa vizuri unadhan hao majiran wangelalamika kelele, , , , ,Mbona sio kanisa hapo naona kama boma la banda la mpira