Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Suala la nani mmiliki wa kampuni la kagoda sasa limewekwa wazi,baada ya mwanaharakati mmoja kuweka wazi kuwa rostam aziz na yusufu manji pamoja na binamu zake r.a.sasa ni wakati wa serikali kujieleza kwanini waliigiza kuwa hawafahamu wamiliki,na inasemekana jamaa walishamaliza deni kwakurudisha pesa walizochukua kuepuka kushtakiwa.chanzo.itv