Sakata la Jezi Feki: Yanga yamsimamisha kazi Dismas Ten na kuomba radhi kwa Mdhamini wao

hiram

JF-Expert Member
Aug 1, 2013
266
393
960b7730-a08f-491f-a7be-fe59a8dcbd87.jpg
 
hawa viongoz sasa wanazingua...unamsimamishaje mpambanaji kama Ten ..kaipigania sana yanga huyu.... course ya utawala inahitajika kwa viongoz wa yanga....huu ni ukurupukaji.....kila mtu anafanya mistakes...tunaishi tunajifunza...that is how life goes.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama amekiuka taratibu na kanuni za mkataba/mdhamini kwa makusudi, anastahili kuchukuliwa hizo hatua za kinidhamu na viongozi wake. Ni kosa kubwa kufanya kazi kwa mazoea.

By the way, Yanga waachane na huu utaratibu wa kupenda kukaimisha watu vyeo bila sababu za msingi. Walimuondoa yule mzee Hafidh Salehe na pia Nadir Haroub! Kwa nini wasiteue meneja mpya wa timu? Kulikuwa na haja gani ya kumkaimisha Dismas Ten hiyo nafasi?
 
Nasakia inshu sio jez Bali ni ten alipoteza kumbukumbu za wachazaji 2 wa yanga lamil Moro na shishimbi kwamba walikuwa na kad 2 za njano na mech ya biashara kupewa kad nyingne na kufikisha kad 3 na kulazimika kukosa mechi ya simba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasakia inshu sio jez Bali ni ten alipoteza kumbukumbu za wachazaji 2 wa yanga lamil Moro na shishimbi kwamba walikuwa na kad 2 za njano na mech ya biashara kupewa kad nyingne na kufikisha kad 3 na kulazimika kukosa mechi ya simba

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza kuwa hoja, lakini wakati mwingine hili haliepukiki ingawaje kadi ya Lamine Moro kwenye mechi dhidi ya Biashara ilikuwa nyepesi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa moja isiwe ndio sababu ya kumfukuza.

Ten ni mbunifu sana, ameleta mambo mengi mapya na mazuri.

Viongizi sijui waliwaza nini kumuondoa kwenye ile nafasi yake ya awali?

Ten bado anahitajika Yanga na wanatakiwa akina Ten wapya wengi timu iendeshwe kisasa.
 
Kosa moja isiwe ndio sababu ya kumfukuza.

Ten ni mbunifu sana, ameleta mambo mengi mapya na mazuri.

Viongizi sijui waliwaza nini kumuondoa kwenye ile nafasi yake ya awali?

Ten bado anahitajika Yanga na wanatakiwa akina Ten wapya wengi timu iendeshwe kisasa.
Taja ktu kimoja kwa mfano ....
 
hawa viongoz sasa wanazingua...unamsimamishaje mpambanaji kama Ten ..kaipigania sana yanga huyu.... course ya utawala inahitajika kwa viongoz wa yanga....huu ni ukurupukaji.....kila mtu anafanya mistakes...tunaishi tunajifunza...that is how life goes.
Sent using Jamii Forums mobile app
swala la jezi ni la kisheria mzee acha kuishi kwa mazoea
 
Back
Top Bottom