Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,395
Wakuu nimekumbana na hii screenshot inayosadikika kuwa imechukuliwa kutoka kwenye kundi la WhatsApp la maafisa mbalimbali ambao kwa jina la kundi lao ni Wasanifu Majengo "Architects"
> Nimefedheheshwa hapo huyo Afisa mmoja anasema kuna kijana wa Chama flani ndiye ametekeleza uchukuaji wa picha. Shame shame shame.......
> Yaani kijana ameripoti suala Sensitive, hao mabwana wanaingiza vyama.....
> Nimefedheheshwa hapo huyo Afisa mmoja anasema kuna kijana wa Chama flani ndiye ametekeleza uchukuaji wa picha. Shame shame shame.......
> Yaani kijana ameripoti suala Sensitive, hao mabwana wanaingiza vyama.....