kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
haaa haa... hata akipewa hafungi
Hajaribiwi...nmweakoSiampe tuone
Ndio anapokea pasiKwani huo mpira anaoutaka mkuu tayari maja ameupata?
Mchochezi nambari oneMbona kuna watu wengi sana nchi hii wanateseka na wengine kufa sababu ya njaa,magonjwa,na maonezi mbalimbali,lakini hawaundiwi tume wala nn!!!!!!nimegundua kumbe wanyama wanapendwa sana na serikali kuliko watu!!!!!inatakiwa waanze nao kupiga kura!!!!!!!!
Atapiga nje au atapaisha juuNgoja pasi ifike kwa mkuu tuone itakuwaje,
tena jamaa atabutua bila hata kutuliza...akiukosa mpira ujue mguu unachomoka sio mashuti hayo