Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
Kwanini hajiulizi yeye Kama mbunge ilikuwaje chadema wakampa ugombea uraisi lowasa wakati bungeni ambapo yeye alikuwemo walipitisha azimio kuwa lowasa fisadi? Je chadema iliheshimu maamuzi Ya bunge au ilidharau?
Wakikujibu naomba unitag namimi nione majibu muruaa