William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Haya maneno mazito sana mkuu Kyoma, karibu tena baada ya kupotea sana mkuu, hii yako ndio tunaita kukata mzizi wa fitina:-
Quote: Kyoma
"Je tuamini nini kati ya haya mawili
1. Ujumbe ambao Texas Medical Board walimpa Mzee Kuhani kwa njia ya simu na akaumwaga hapa JF?
Au
2. Sheria za Texas na Kanuni za Texas Medical Board walizoziweka kwenye mtandao wao?
Je katika hatua za mwanzo kati yako na wanasheria, mnatumia vigezo ambavyo Texas Medical Board walikueleza kwenye simu au mnatumia official documents ambazo Texas Medical Board imeziweka katika mtandao wake?"
Quote: Kyoma
"Je tuamini nini kati ya haya mawili
1. Ujumbe ambao Texas Medical Board walimpa Mzee Kuhani kwa njia ya simu na akaumwaga hapa JF?
Au
2. Sheria za Texas na Kanuni za Texas Medical Board walizoziweka kwenye mtandao wao?
Je katika hatua za mwanzo kati yako na wanasheria, mnatumia vigezo ambavyo Texas Medical Board walikueleza kwenye simu au mnatumia official documents ambazo Texas Medical Board imeziweka katika mtandao wake?"