Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)

M'koko, unajua kuna watu wana ng'o zao, taasisi zao, na hata vyama vyao vya siasa. Utashangaa wanavyokomaa! jana walikuwa kwa waziri, leo kwa katibu mkuu! kesho kwa rostam.

Taasisi ina board of trustees, board of directors na management. Cha kushangaza ni dr. tu anakomaa alone! kimsingi nssf wakinadi vyombo vyake deni litakalobaki board of trustees wabebeshwe. any registered institution ina unlimited liabilities kwa members wake. labda THI iko limited by guarantee, then guarantors watawajibika.


Cha ajabu ni kuwa huu ni mwaka wa pili board ya THI haijakutana
 
Zifuatazo ni documents alizoomba GT ziwekwe online kuhusiana na hii case ya THI. Unaweza kufungua moja baada ya nyingine kujisomea kwa kubonyeza alama ya PLAY:

-----------------------
1. FINANCIAL FEASIBILITY REPORT YA THI

[media]http://www.habarinamatangazo.com/APPENDIX01.pdf[/media]

------------------------
2. COMMITMENT TO AGREED RENT FROM THI

[media]http://www.habarinamatangazo.com/APPENDIX03.pdf[/media]

------------------------
3. COOPERATION LETTER

[media]http://www.habarinamatangazo.com/APPENDIX04.pdf[/media]

------------------------
4. MEMORANDUM OF UNDERSTANDING

[media]http://www.habarinamatangazo.com/APPENDIX05.pdf[/media]

------------------------
 
However, NSSF workers failed to execute the court order yesterday. They had not removed any of the patients by 7 pm when Dr Masau reappeared and addressed his staff. He told them that work would continue, claiming that NSSF had not produced any court order authorising the eviction from the hospital.

Jamani hivi NSSF ndio wanao-execute court order? Waliyonayo hiyo Court order watuwekee hapa.
 
Jamani hivi NSSF ndio wanao-execute court order? Waliyonayo hiyo Court order watuwekee hapa.

GT atakuambia kuna "court ruling" ... which in the conviction of his mind is the same as an order to evict someone. Unless you are asking for something else. Are you?
 
Ifuatayo ni "Court Order" kuhusiana na sakata hili, kama vile GT alivyoomba itundikwe hapa JF:

[media]http://www.habarinamatangazo.com/APPENDIX14.pdf[/media]
 
GT atakuambia kuna "court ruling" ... which in the conviction of his mind is the same as an order to evict someone. Unless you are asking for something else. Are you?

MMJ

Court Order inakuwa executed na Bailiffs ambao wakipenda wanaweza kuwaomba polisi wawasindikize ili kusitokee vurugu kwani kazi yao ni kulinda amani. Baillifs ni ku-execute Order ya mahakama na taratibu na time table huwa zinawekwa sahihi sasa mimi nashangaa kama Mahakama wanatoa court order ambayo haitekelezwi basi tutakuwa na wakati mgumu sana Tanzania.
 
Ifuatayo ni "Court Order" kuhusiana na sakata hili, kama vile GT alivyoomba itundikwe hapa JF:


Hiyo sio Court Order, hiyo ni ruling. GRRrrrrrrrrrrrrrrr.

Jamani wasiojua sheria wawaulize ma-lawyer kabla ya kukurupuka.
 
Hiyo sio Court Order, hiyo ni ruling. GRRrrrrrrrrrrrrrrr.

Jamani wasiojua sheria wawaulize ma-lawyer kabla ya kukurupuka.

...Sir, am not sure of the details of this entire saga, am only representing my logical thinking and presenting data that i've been given to present... and that explains my usage of quotation marks on that particular statement.

Baadae
 
Basi angalau mtu angesoma mwanzo mwa hiyo document. A ruling is not necessary an order to initiate an action. Mahakama inapotaka kitu kifanyike inatoa order! Siyo kosa lako SteveD.. ni kosa la GT to confuse the two though related are not the same thing.
 
Mtu mwenye akili timamu akisoma hiyo ARTICLE 5 ya memorandum of Understanding ataona THI wamechemsha wapi
 
Na mtu mwingine mwenye akili timamu anaweza kuona ni wapi NSSF walipochemsha walipotangaza kwenda kuwaondoa kwa nguvu. Na mtu mwingine mwenye timamu hatosoma sehemu ya tano tu bali ya sita na ya saba vile vile.
 
Wajameni ningeomba kuelimishwa hapa.
Hivi hii taasisi ni taasisi ya serikali (umma) ama ya mtu binafsi?

Ngoja niongee kidogo
kama ni ya serikali (umma) basi hapo wakulaumiwa ni serikali na inabidi awajibishwe. Pia kama ni ya mtu binafsi lakini aliingia ubia na serikali kwa maadishi na kimiongozo wa kuendeleza taasisi hiyo hapo bado serikali iwajibishwe.

Lakini kama ni ya mtu binafsi kwa yeye kufikiri kua kwa vile Tz hakuna taasisi kama hiyo ,basi a take advantage atakua jamaa alipotea ,huu mimi hua nauita unyanyembe.

Mfano mtu huwezi kwenda na mapesa yako ukaenda kuanzisha kilimo cha kisasa na ukakodi ma godauni ya serikali na ukaacha kutoa kodi ya mwezi ,eti kwa vile unatoa mavuno ya kupambana na njaa iliyojikita nchini pale.Yani ku take advantage ya njaa ili ujipatie magodauni bure ni unyonyaji beberu.

Lakini kama kabla ya kuingia ktk biashara ya kilimo hicho uliingia na hao wadau wa magodauni kwa makubaliano ya kutotoa kodi ili upambane na njaa basi ni sawa.

Hawa jamaa weupe ndio wanapotuacha yani wao kabla ya kuanzisha biashara anakua amesha kubaliana kila kitu msamaha wa kodi,security ya biashara n.k

Masau kichwa chake si kizuri nina wasi wasi hadi wa elimu yake, huenda ndio wale wanakuja na digrii feki toka nje,huwezi kunywa dawa ya mkuyati wakati Jane au Norah hajaingia chumbani kwako, Masau kanywa dawa ya kuongeza nguvu za kiume kwa kufikiria kuwa Jane atakuja nyumbani kwake, matokeo yake Jane amevunja miadi na yeye anasumbuliwa na nguvu ya mkuyati,

jamani hata ukiwa una mdai mtu hutaki kuhesabu kuwa lile deni ni sehemu ya mapato yako, hajui wazungu walisema ndani ya G8 kuwa watatusaidia Africa na wakaweka na saini mbele ya marais wote wa Afrika wakisema kuwa sasa ni wakati wa kufuta umasikini Africa toka wameingia mkataba ule hakuna walichofanya, juzi wanahojiwa Japan kwenye G8 na Bob Geldof hawana cha kujibu.
huyu Masau mimi naona ni mganga njaa huko Marekani akataka ku take advantage baada ya kusikia minong'ono toka kwa WaNigeria kuwa ukifanya hivi unaweza kuomba pesa taasisi fulani na ukapata,
sawa na kumpa jina mtoto kabla ya kuzaliwa.

Mwanakijiji

Ameamua kuwa Sauti ya wachagga na Chadema kwenye shida na raha, aliwabeba kwenye mjadala wa TRA,Wangwe na sasa huu wa masau, hawa ndio kina Mtikila wa baadae lazima tuchukue tahadhari kubwa sana hasa tunaoingia hapa JF,wenzetu eneo hili ni Saigoni yao ya kampeni mbalimbali,
kiasi cha mtu kuwa na majina kibao bila sababu kumbe wako kwenye ajira,
juzi nimepita Michuzi na kuona Mwanakijiji akishutumiwa kutumia majina mengi hadi kwenye magazeti ya Raiamwema kuwa ni Lula na lingine nimelisahau.
Mwanakijiji unaharibu sifa ya kujenga hoja JF kwa kulazimisha mitazamo yako ambayo una maslahi nayo.
 
Pamoja na ngonjera zote zinazoendelea na huu mchezo wa kuigiza kati ya THI na NSSF, kuna mambo ya msingi ya kuzingatia na kujiuliza. Je, Watanzania hatuhitaji huduma za afya hasa kwa wagonjwa wa moyo? Je, Tanzania hatuna mkakati mahususi wa kuwasaidia wawekezaji binafsi katika sekta ya afya? Je, NSSF ni mali ya nani na wanataka kumpangisha nani baada ya THI kuondolewa? Kwanini basi wasiamue kama wanavyofanya wengine kuweka menejimenti yao kwa makubaliano na THI ili wakusanye na kujilipa fedha zao? Je, kati ya wadai sugu wa NSSF, THI wamo? (Naambiwa katika ripoti yao ya mwaka huu THI hawamo) kama wamo, na wengine ni kina nani na je, wameondolewa kwa nguvu? Hivi wale wafadhili wanaochangia mamilioni kusafirisha wauza unga (mabondia) kwenda nje ya nchi na wanaofadhili watu kuingia mpirani bure na Lion Club wanaosafirisha wagonjwa wa moyo nje ya nchi, kwanini wasiwasaidie wagonjwa wanaoonekana wameanza kupata huduma kwa kulipia deni la THI? Jamani, Tanzania tumefikia mahali pa kuthamini fedha/siasa/ubinafsi kuliko maisha na utu wa watu wetu?
 
Masau kichwa chake si kizuri nina wasi wasi hadi wa elimu yake, huenda ndio wale wanakuja na digrii feki toka nje,huwezi kunywa dawa ya mkuyati wakati Jane au Norah hajaingia chumbani kwako, Masau kanywa dawa ya kuongeza nguvu za kiume kwa kufikiria kuwa Jane atakuja nyumbani kwake, matokeo yake Jane amevunja miadi na yeye anasumbuliwa na nguvu ya mkuyati,

jamani hata ukiwa una mdai mtu hutaki kuhesabu kuwa lile deni ni sehemu ya mapato yako, hajui wazungu walisema ndani ya G8 kuwa watatusaidia Africa na wakaweka na saini mbele ya marais wote wa Afrika wakisema kuwa sasa ni wakati wa kufuta umasikini Africa toka wameingia mkataba ule hakuna walichofanya, juzi wanahojiwa Japan kwenye G8 na Bob Geldof hawana cha kujibu.
huyu Masau mimi naona ni mganga njaa huko Marekani akataka ku take advantage baada ya kusikia minong'ono toka kwa WaNigeria kuwa ukifanya hivi unaweza kuomba pesa taasisi fulani na ukapata,
sawa na kumpa jina mtoto kabla ya kuzaliwa.

Mwanakijiji

Ameamua kuwa Sauti ya wachagga na Chadema kwenye shida na raha, aliwabeba kwenye mjadala wa TRA,Wangwe na sasa huu wa masau, hawa ndio kina Mtikila wa baadae lazima tuchukue tahadhari kubwa sana hasa tunaoingia hapa JF,wenzetu eneo hili ni Saigoni yao ya kampeni mbalimbali,
kiasi cha mtu kuwa na majina kibao bila sababu kumbe wako kwenye ajira,
juzi nimepita Michuzi na kuona Mwanakijiji akishutumiwa kutumia majina mengi hadi kwenye magazeti ya Raiamwema kuwa ni Lula na lingine nimelisahau.
Mwanakijiji unaharibu sifa ya kujenga hoja JF kwa kulazimisha mitazamo yako ambayo una maslahi nayo.

Ever heard of Cialis or Levitra?

Kulingana na ulivoielezea mada hii, maybe ndugu Masao anatumia Cialis, kwahiyo leave him alone maana dawa bado inafanya kazi.
 
Back
Top Bottom