kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,293
- 12,593
Acha kutoka povu punguza bei ya bidhaa zako. Dangote ni game changer, anastahili kusikilizwa na serikali kuliko nyinyi mliokuwa mnawaumiza wananchi.Hii ni too much, kwa madai ya serikali hatuwezi ku deal na mfanyabiashara huyu
Nitashangaa sana kama serikali itakubaliana na matakwa ya dangote cement, itakuwa ni kuua moja kwa moja viwanda vingine vya cement hapa nchini vilivyofanya uwekezaji wa kutisha na ku struggle kwa miaka mingi mpaka kukua.
Hii iwe fair game, fair competition siyo kuwafunga wengine kwa ma kodi na yozo za kutosha kidha kumpendelea mwekezaji mmoja, yani tuue viwanda vitano kwa ajili ya kumtajirisha dangote...hii haiwezekani
Mazingira, kodi na incentives zote ziwe fair kwa wazalishaji wote wa cement la sivyo tutaua viwanda vyetu vya wazawa na kukuza cha mgeni ambaye halipi kodi na kila kitu anataka kiwe bure