Sakata la Coco Beach: Manji asitisha mpango wa kuchukua ufukwe wa Coco Beach kwa lengo la kuwekeza

Maboso

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
5,164
5,761
Hatimae lile sekeseke la Coco Beach limefikia mwisho baada ya Manji kusalimu amri kupitia taarifa kwa umma aliyoitoa leo tarehe 24-June-2017 kwenye Gazeti la Mwananchi. Hapa chini kwenye screenshot ni taarifa hiyo ya Manji. Hakika katika utawala huu wa JPM matumizi ya pesa/rushwa havina nafasi.

manji-statement.jpg
 
Si tuliambiwa kwamba amejiuzulu uongozi wa quality group na kwa sasa ni mshauri tu.
Pili akumbuke kulipa kodi kwani Huo ni wajibu wa kila Mtu au mkazi wa sehemu fulani kulipa kodi , ila pale tu sheria nyinginezo zinapo mpa haki hiyo na mwisho kuamini ktk diversity . Hivyo vitu ndio vitamweka salama ktk nchi ya tanzania na nchi zote zenye kuamini ktk utawala bora
 
Hatimae lile sekeseke la Coco Beach limefikia mwisho baada ya Manji kusalimu amri kupitia taarifa kwa umma aliyoitoa leo tarehe 24-June-2017 kwenye Gazeti la Mwananchi. Hapa chini kwenye screenshot ni taarifa hiyo ya Manji. Hakika katika utawala huu wa JPM matumizi ya pesa/rushwa havina nafasi.

View attachment 529770

Manji tulikuonya humu mapema sana ila jeuri na dharau zako ndizo zilikuponza hadi sasa umesubiri ' umeshabinywa ' na ' kukamuliwa ' vya kutosha huku Vyanzo vyako vyote vya Pesa vikipigwa ' pini ' ndipo unasalimu amri. au ulidhani JPM ni yule ' Mkwere ' wako ambaye ulikuwa unampelekesha unavyotaka?

Ukome!
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom