Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Hatimae lile sekeseke la Coco Beach limefikia mwisho baada ya Manji kusalimu amri kupitia taarifa kwa umma aliyoitoa leo tarehe 24-June-2017 kwenye Gazeti la Mwananchi. Hapa chini kwenye screenshot ni taarifa hiyo ya Manji. Hakika katika utawala huu wa JPM matumizi ya pesa/rushwa havina nafasi.