dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,054
Kweli wazungu ni watu wanafki sana wanajarbu kututawala waafrika kwa kutulazimisha tufanye vitu ambavyo hata wao hawafanyi.
Katka swala la Catalan kujitoa Hispania kuna vitu vingi nimejifunza.
Kwanza democracy ni theoretical sio practical kwao bali wanaijaribu kwetu kama itafanya kazi ama lah.
Wakat sudan inataka kujigawa wao ndo walikua mstari wa mbele kulazimisha kura za maoni kwa kisingizio cha democracy na ilivyofanikiwa kujigawa Sudan Kusini na Kaskazini waliwapongeza viongoz kwa kufanya kile wananchi walikua wanahitaji.
Leo wananchi wa Catalan baada ya kupiga kura za kujitoa Spain wamepitisha sheria za direct rule kwa jimbo la Catalan kwamba litaendelea kubaki kama koloni la Hispania kitu ambacho wakifanya mataifa ya Afrika matamko yatakuwa mengi. Mfano Morroco anachokifanya kwa Western Sahara sidhani kama kina tofauti na hiki lakini angalia Morroco anavyosumbuliwa
Kila mtu anaona jinsi Catalan walivyo hawataki kubaki Spain lakin EU wametoa tamko hawatokubali kuona Catalan wakijitenga na sio EU tu bali mataifa kibao viongozi wao wametoa matamko kuwasupport Spain.
Waziri mkuu Spain kavunja serikali yote ya Catalan ikiwemo Mkuu wa polisi na wengineo kisa walikuwa wanasupport muungano but hakuna anayekemea
Ingawaje kuna kura zilipigwa illegal mara ya kwanza na legal kwa mara ya pili zote watu wamepinga muungano kwa asilimia kubwa lakini viongoz wa Ulaya hawaulizii democracy tena
Najarbu kuwaza tu haya matukio yangetokea kwa taifa la kiafrika au uarabuni tungeshuhudia vitisho ambavyo vingeambatana na kupinga.
Tunajifunza nini sisi Watanzania katika hili? Tuna muungano na Zanzibar tuwe makini sana na hawa wazungu watakapojarbu kututenganisha nao.
Katka swala la Catalan kujitoa Hispania kuna vitu vingi nimejifunza.
Kwanza democracy ni theoretical sio practical kwao bali wanaijaribu kwetu kama itafanya kazi ama lah.
Wakat sudan inataka kujigawa wao ndo walikua mstari wa mbele kulazimisha kura za maoni kwa kisingizio cha democracy na ilivyofanikiwa kujigawa Sudan Kusini na Kaskazini waliwapongeza viongoz kwa kufanya kile wananchi walikua wanahitaji.
Leo wananchi wa Catalan baada ya kupiga kura za kujitoa Spain wamepitisha sheria za direct rule kwa jimbo la Catalan kwamba litaendelea kubaki kama koloni la Hispania kitu ambacho wakifanya mataifa ya Afrika matamko yatakuwa mengi. Mfano Morroco anachokifanya kwa Western Sahara sidhani kama kina tofauti na hiki lakini angalia Morroco anavyosumbuliwa
Kila mtu anaona jinsi Catalan walivyo hawataki kubaki Spain lakin EU wametoa tamko hawatokubali kuona Catalan wakijitenga na sio EU tu bali mataifa kibao viongozi wao wametoa matamko kuwasupport Spain.
Waziri mkuu Spain kavunja serikali yote ya Catalan ikiwemo Mkuu wa polisi na wengineo kisa walikuwa wanasupport muungano but hakuna anayekemea
Ingawaje kuna kura zilipigwa illegal mara ya kwanza na legal kwa mara ya pili zote watu wamepinga muungano kwa asilimia kubwa lakini viongoz wa Ulaya hawaulizii democracy tena
Najarbu kuwaza tu haya matukio yangetokea kwa taifa la kiafrika au uarabuni tungeshuhudia vitisho ambavyo vingeambatana na kupinga.
Tunajifunza nini sisi Watanzania katika hili? Tuna muungano na Zanzibar tuwe makini sana na hawa wazungu watakapojarbu kututenganisha nao.