Sakata la CAG: Spika Ndugai mtumie vizuri Msaidizi wako Ndg. Saidi Yakubu

Unamjua Yakubu unayemsifia au? huyu alikuwa mtangazaji wa BBC. Amepata elimu ya kuunga unga na kuja kuanzisha Kampuni ya uwakili ya kitapeli. Kampuni ikachukua zabuni kubwa kwenye mashirika kama NSSF akila pamoja na Dr. Dau, Othman wa TISS na Jaji Mkuu msaafu yule white wa Tanga. Huyu naye fisadi tu kama boss wake Ndugai. Hata zile bill za matibabu feki India huyu ndiye engineer. Tutawalipua muda si mrefu.
JF ni noumah
 
Wewe unaishi Ulimwengu wa kwako pekee yako.

Awali, kabla hata CAG hajahojiwa na kamati ya Bunge, Spika huyu alitamka kuwa Bunge halitafanya kazi na CAG. Watu wakaanza kuhoji ni lini Bunge lilipitisha uamuzi huo?

Mwishowe amelitumia Bunge dhaifu kupitisha maamuzi ambayo tayari yeye Ndugai alikwishayafanya. Na hii inathibitisha jinsi Bunge lilivyo dhaifu.

I think we have the most hopeless and weak Parliament in this Globe.
Hv kwann bunge lisikatae kupitisha uamuzi ule ila lililipuka tu na kusema "NDIOOOOOO" hapa inabdi asilaumiwe Ndugai tu mkuu think beyond horizon

MiM
 
Hv kwann bunge lisikatae kupitisha uamuzi ule ila lililipuka tu na kusema "NDIOOOOOO" hapa inabdi asilaumiwe Ndugai tu mkuu think beyond horizon

MiM
Hawana hoja za msingi. Maamuzi yametolewa na Kamati na kupelekwa Bungeni na kuhidhinishwa na Bunge lkn leo mtu anakuja anakwambia oooh Ndugai hana mamlaka ya kukataa kufanya kazi na CAG.Hakuna hata mmoja anayehoji kamati iliyomhoji CAG kamati ambayo huyo Ndugai sio mjumbe.

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Back
Top Bottom