Sakata la CAG: Spika Ndugai mtumie vizuri Msaidizi wako Ndg. Saidi Yakubu

businesslink

Senior Member
Mar 20, 2019
129
113
D3f3ChlX4AA-DB5


Spika Ndugu Ndugai akiwa na Saidi Yakubu na Balozi wetu nchini Qatar kwenye mkutano




Ukitaka kumjua Mfalme basi tazama watu waliomzunguka.


Spika wetu Job Ndugai kwa bahati nzuri sana ana Katibu ambaye ni msomi wa hali ya juu wa Sheria mwenye weledi na sifa kem kem kama ilivyoanishwa kwenye profile ya kampuni yake ya Uanasharia ya Yakubu & Associates Chamber.



Ndugu Yakubu ambaye pia ambaye pia naamini angefaa pia kuwa ni mshauri wake wa masuala ya sheria ni mtu msomi na mwenye uwezo na exposure ya hali ya juu toka kwenye vyuo vya ndani na nje angeweza kumshauri vizuri sana Spika Ndugai na hasa kwenye hili suala la CAG.

Siamini kuwa Ndugu Ndugai angeweza kutoa matamko matamko na kufanya maamuzi ambayo kwa kiasi kikubwa yanamwingiza yeye na taifa katika sintofahamu na kadhia kubwa ya namna hii.

Ombi kwa Spika Ndugai, mtumie vizuri Ndugu Saidi Yakubu vizuri ili uepukane na mambo ambayo hayana msigi kwa taifa.

Mheshimiwa Rais anapambana na rushwa na ufujaji na ufisadi kila mahala na naturally CAG pamoja na Bunge zilitakiwa ziwe mstari wa mbele kwenye vita dhidi ya ufisadi kwa kushirikiana pamoja na vijana kama akina Yakubu wapo na wangetumiwa zaidi kwenye ushauri na kuweka mambo sawa.
 
Kwani maamuzi yametolewa na Speaker au Kamati ya maadili na kupitishwa na Bunge?

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
Wewe unaishi Ulimwengu wa kwako pekee yako.

Awali, kabla hata CAG hajahojiwa na kamati ya Bunge, Spika huyu alitamka kuwa Bunge halitafanya kazi na CAG. Watu wakaanza kuhoji ni lini Bunge lilipitisha uamuzi huo?

Mwishowe amelitumia Bunge dhaifu kupitisha maamuzi ambayo tayari yeye Ndugai alikwishayafanya. Na hii inathibitisha jinsi Bunge lilivyo dhaifu.

I think we have the most hopeless and weak Parliament in this Globe.
 
D3f3ChlX4AA-DB5


Spika Ndugu Ndugai akiwa na Saidi Yakubu na Balozi wetu nchini Qatar kwenye mkutano




Ukitaka kumjua Mfalme basi tazama watu waliomzunguka.


Spika wetu Job Ndugai kwa bahati nzuri sana ana Katibu ambaye ni msomi wa hali ya juu wa Sheria mwenye weledi na sifa kem kem kama ilivyoanishwa kwenye profile ya kampuni yake ya Uanasharia ya Yakubu & Associates Chamber.



Ndugu Yakubu ambaye pia ambaye pia naamini angefaa pia kuwa ni mshauri wake wa masuala ya sheria ni mtu msomi na mwenye uwezo na exposure ya hali ya juu toka kwenye vyuo vya ndani na nje angeweza kumshauri vizuri sana Spika Ndugai na hasa kwenye hili suala la CAG.

Siamini kuwa Ndugu Ndugai angeweza kutoa matamko matamko na kufanya maamuzi ambayo kwa kiasi kikubwa yanamwingiza yeye na taifa katika sintofahamu na kadhia kubwa ya namna hii.

Ombi kwa Spika Ndugai, mtumie vizuri Ndugu Saidi Yakubu vizuri ili uepukane na mambo ambayo hayana msigi kwa taifa.

Mheshimiwa Rais anapambana na rushwa na ufujaji na ufisadi kila mahala na naturally CAG pamoja na Bunge zilitakiwa ziwe mstari wa mbele kwenye vita dhidi ya ufisadi kwa kushirikiana pamoja na vijana kama akina Yakubu wapo na wangetumiwa zaidi kwenye ushauri na kuweka mambo sawa.
Unamjua Yakubu unayemsifia au? huyu alikuwa mtangazaji wa BBC. Amepata elimu ya kuunga unga na kuja kuanzisha Kampuni ya uwakili ya kitapeli. Kampuni ikachukua zabuni kubwa kwenye mashirika kama NSSF akila pamoja na Dr. Dau, Othman wa TISS na Jaji Mkuu msaafu yule white wa Tanga. Huyu naye fisadi tu kama boss wake Ndugai. Hata zile bill za matibabu feki India huyu ndiye engineer. Tutawalipua muda si mrefu.
 
Kumpa ushaur ndugai ktk swala hili la CAG ni sawa sawa na kupiga dana dana jiwe au kupiga ngumi upepo Thank you God i'm out of the boder
 
Wewe unaishi Ulimwengu wa kwako pekee yako.

Awali, kabla hata CAG hajahojiwa na kamati ya Bunge, Spika huyu alitamka kuwa Bunge halitafanya kazi na CAG. Watu wakaanza kuhoji ni lini Bunge lilipitisha uamuzi huo?

Mwishowe amelitumia Bunge dhaifu kupitisha maamuzi ambayo tayari yeye Ndugai alikwishayafanya. Na hii inathibitisha jinsi Bunge lilivyo dhaifu.

I think we have the most hopeless and weak Parliament in this Globe.
Unaweza leta reference speaker akiongea hayo?

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Nenda bungeni kaombe hansard,usitusumbue
Unaweza leta reference speaker akiongea hayo?

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Nenda bungeni kaombe hansard,usitusumbue
Mkuu mbona umepanic?Kwani hiki ni kijiwe cha kahawa?

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Huyu Said Yakub si ndiye alikuwa mtangazaji wa BBC kipindi fulani kabla ya kupata shavu hapo bungeni??
 
Unaweza leta reference speaker akiongea hayo?

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
Mkuu, hata kabla ya hizo reference hazijaletwa hapa, ni kweli hukumsikia akiyasema hayo!!??? Siku aliposema kama CAG akigoma kwenda kwenye kamati, atatumiwa askari wamlete kwa pingu...... Tulia kidogo utaelewa, penye ukweli jaribu kuwa mtulivu na kukubaliana nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye "HOLLY BIBLE" kuna Mfalme mmoja alipewa fursa na Mola wake aombe chochote naye ANGEPEWA. Basi Mfalme Suleyman kwa kuwa alikuwa mcha MUNGU ROHO wa BWANA MUNGU akamjia akamwambia mwombe Hekima na Maarifa na moyo wa Adili kusudi uweze kuwaongoza na kuwahukumu wana wa Israeli kwa haki. Naye MWENYENZI MUNGU alifanya kama alivyoomba. Sasa hawa viongozi wetu "vituko" walimwomba mola wao hivi vituko vyao? Tujadili!
Nafasi uongozi wa juu unahitaji BUSARA zaidi ya maarifa na elimu. Mhe. Spika na Prof. Assad Wanahitaji kukaa kuweka tofauti pembeni. Mhe. Rais JPM anaweza kusuluhisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hata kabla ya hizo reference hazijaletwa hapa, ni kweli hukumsikia akiyasema hayo!!??? Siku aliposema kama CAG akigoma kwenda kwenye kamati, atatumiwa askari wamlete kwa pingu...... Tulia kidogo utaelewa, penye ukweli jaribu kuwa mtulivu na kukubaliana nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu amesema kuwa speaker alisema hata fanya kazi na CAG. Kwanini asilete reference?

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Back
Top Bottom