yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 1,808
- 8,304
MJUE MSANII WAKO
Kwanza niwape pole na mjukumu ya kilasiku, na bila kupoteza muda nianze na kusema hamjambo???
leo nataka nikukaribishe umjue msanii wetu!!! Msanii matata, msanii wa kuigwa, msanii pendwa na mwenye nyimbo nzuri za kupendeza!!!
Katika harakati zake za kuitengene ulbum yake ya WANYONGE msanii wetu alianza na single kali, single ya kutisha iliyo tengenezwa studio maarufu nchini tozamalia, Na single ikiitwa "VIWANDA". Single ilisumbua sana na ikashika chati mbali mbali ikitarajiwa kutoa ajira kwa wacheza shoo, kila presenter wa redio allipiga single hii,
Single ika hit ikaaminika itatupelekeka kimataifa, mara ghafla ikaonekana single ni feki, single imekopiwa mahala, ghafla ikapotea, na hata tuzo haikupata matokeo yake wacheza shoo wakalalamika sana wakidai single ilikosa midundo mizuri ivyo msanii wetu akashtuka akaja na single ingine;
Single ya vyeti vya ukweli; single hii ilikuja na moto wake. Msanii wetu akadai produza alie tengeneza mdundo wa single ya VIWANDA alikua na vyeti si vya kweli, ndio maana single ile haikupata tuzo.
Basi msanii akaipromoti single yake hii mpya, kwenye media zote watu wakaisikiliza jamaa akimponda produza wake wa zamani kuwa alikua navyeti tata toka call me J, kwakua single ya viwanda ilibuma, watu wakapenda maneno lakini wakagundua kuwa single haikua na style ya kuchezwa vizuri, wakaisahau nayo ikabuma msanii akabaha akaaamua kuja na single ingine;
Simgle akaiintroduce kwa jina la "wafanyakazi pumzi"; hii single bwana ilikua ina wahusu wacheza shoo wa msanii, Kwamba walikua hawana pumzi , hawajui kubuni stail za kucheza kwenye midundo yake, akawaimba kua amewafukuza wote na aakandaa tamasha kuonesha kua amekuja na kundi jipya la wacheza shoo ili kuibeba single yake ipae lakini akaonabora atoe na ya pili papo hapo,
Ghafla msanii wetu akatoa single ingine inaitwa "MAKINI MKIA WA NGOMBE" ikafanyiwa promotion vituo vya redio zote, single ng'ombe. Single ikabamba, nchi ikasimama kila mtu makini mkia wa ng'ombe, ikasemekana single itauza bilioni 700 watu wakatarajia msanii atawajengea familia yake mjengo wa maana na kupata noha moja moja mwisho wasiku naskia wanunuzi wa single ya makini mkia wakaingia mitini single ikafa ikafifia, jamaa ikabidi arudi studio;
Akatafakari sana akaona kama single zote zinahiti muda mfupi afu zinapotea; ndipo msanii akarudi studio na kuja na single ingine inaitwa "OKOTA MALI" ndani ya single hii msanii akaonyesha jinsi alivyo okota vichwa vya basii kule gambia na magari meeeengi akiwa visiwa vya komoro, single iliwashangaza wengi lakini ilibidi waipokee, tatizo koras yake ikawa haina melody nzuri msanii akaona akaribishe wasanii wenzake ili watoe single moja kali itakayo mpeleka sasa kimataifa!!
Ndipo msanii akaja na single inaitwa "HAMAHAMA" umondani akawashilikisha wasanii mbali mbali, inasemekana wengine aliwalipa ili watie mistari yao kuifanya single ifike kimataifa, bahati mbaya mixing ya sauti kule studio kutokana na kuwashirikisha wasanii wengi ikawahaina quality, single ikapigwa sanaaaaaaaana but nayo ika chuja, maana wasanii alio washirikisha wengi washa zoeleka!!
Sasa msanii kaja na single mpya inaitwa "WHERE IS MY PHONE"kaitambulisha juzi wakati anatangaza kuamia nyumba mpya Stay tune tujue ita leta mafanikio??
Kama single hii nayo itabuma basi ulbum ya wanyonge itakosa market na faida ila kwa kuwa wacheza shoo wao nikucheza tuuuuuu kama wasipo inunua wataicheza tuu!!!
Alamsiki!!!
Kwanza niwape pole na mjukumu ya kilasiku, na bila kupoteza muda nianze na kusema hamjambo???
leo nataka nikukaribishe umjue msanii wetu!!! Msanii matata, msanii wa kuigwa, msanii pendwa na mwenye nyimbo nzuri za kupendeza!!!
Katika harakati zake za kuitengene ulbum yake ya WANYONGE msanii wetu alianza na single kali, single ya kutisha iliyo tengenezwa studio maarufu nchini tozamalia, Na single ikiitwa "VIWANDA". Single ilisumbua sana na ikashika chati mbali mbali ikitarajiwa kutoa ajira kwa wacheza shoo, kila presenter wa redio allipiga single hii,
Single ika hit ikaaminika itatupelekeka kimataifa, mara ghafla ikaonekana single ni feki, single imekopiwa mahala, ghafla ikapotea, na hata tuzo haikupata matokeo yake wacheza shoo wakalalamika sana wakidai single ilikosa midundo mizuri ivyo msanii wetu akashtuka akaja na single ingine;
Single ya vyeti vya ukweli; single hii ilikuja na moto wake. Msanii wetu akadai produza alie tengeneza mdundo wa single ya VIWANDA alikua na vyeti si vya kweli, ndio maana single ile haikupata tuzo.
Basi msanii akaipromoti single yake hii mpya, kwenye media zote watu wakaisikiliza jamaa akimponda produza wake wa zamani kuwa alikua navyeti tata toka call me J, kwakua single ya viwanda ilibuma, watu wakapenda maneno lakini wakagundua kuwa single haikua na style ya kuchezwa vizuri, wakaisahau nayo ikabuma msanii akabaha akaaamua kuja na single ingine;
Simgle akaiintroduce kwa jina la "wafanyakazi pumzi"; hii single bwana ilikua ina wahusu wacheza shoo wa msanii, Kwamba walikua hawana pumzi , hawajui kubuni stail za kucheza kwenye midundo yake, akawaimba kua amewafukuza wote na aakandaa tamasha kuonesha kua amekuja na kundi jipya la wacheza shoo ili kuibeba single yake ipae lakini akaonabora atoe na ya pili papo hapo,
Ghafla msanii wetu akatoa single ingine inaitwa "MAKINI MKIA WA NGOMBE" ikafanyiwa promotion vituo vya redio zote, single ng'ombe. Single ikabamba, nchi ikasimama kila mtu makini mkia wa ng'ombe, ikasemekana single itauza bilioni 700 watu wakatarajia msanii atawajengea familia yake mjengo wa maana na kupata noha moja moja mwisho wasiku naskia wanunuzi wa single ya makini mkia wakaingia mitini single ikafa ikafifia, jamaa ikabidi arudi studio;
Akatafakari sana akaona kama single zote zinahiti muda mfupi afu zinapotea; ndipo msanii akarudi studio na kuja na single ingine inaitwa "OKOTA MALI" ndani ya single hii msanii akaonyesha jinsi alivyo okota vichwa vya basii kule gambia na magari meeeengi akiwa visiwa vya komoro, single iliwashangaza wengi lakini ilibidi waipokee, tatizo koras yake ikawa haina melody nzuri msanii akaona akaribishe wasanii wenzake ili watoe single moja kali itakayo mpeleka sasa kimataifa!!
Ndipo msanii akaja na single inaitwa "HAMAHAMA" umondani akawashilikisha wasanii mbali mbali, inasemekana wengine aliwalipa ili watie mistari yao kuifanya single ifike kimataifa, bahati mbaya mixing ya sauti kule studio kutokana na kuwashirikisha wasanii wengi ikawahaina quality, single ikapigwa sanaaaaaaaana but nayo ika chuja, maana wasanii alio washirikisha wengi washa zoeleka!!
Sasa msanii kaja na single mpya inaitwa "WHERE IS MY PHONE"kaitambulisha juzi wakati anatangaza kuamia nyumba mpya Stay tune tujue ita leta mafanikio??
Kama single hii nayo itabuma basi ulbum ya wanyonge itakosa market na faida ila kwa kuwa wacheza shoo wao nikucheza tuuuuuu kama wasipo inunua wataicheza tuu!!!
Alamsiki!!!