Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,215
Kama huyo mtu wa TTCL ndiyo alikuwa anaongea kwa mtiririko huo basi inapaswa afukuzwe kazi..
Naunga mkono hoja. Yaani ni mchanyato na mkusanyiko wa maneno ambayo ni ngumu kuelewa alitaka kusema nini.