Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Mkuu acha kutumiwa na Ma Beberu,Kuwa MzalendoSi walitwambia AIRTEL inapaswa imilikiwe na TTCL 100% kwa kuwa tumeelezwa kuwa mwekezaji alipata shares kimagumashi??, Sasa hii ya leo ya serikali kujitapa kumiliki only 49% badala ya 100% inatoka wapi?
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk