Sakata kuhusu mchanga wa madini

Nomile

Member
Dec 5, 2012
99
122
Ndugu Tanzania wale wote wanaofikiria serikali imefanya jambo sahihi na kwa kufata taratibu zote katika sakata la Madini (makinikia) wajue kwamba ipo siku jambo hili litafikia mwisho. for sure! na kwa jinsi ambovyo kuna gharama zimekua involved kuna isssue ya kulipana, na mwisho wenyewe kuna upande UTAPOTEZA na kuna upande utakao SHINDA sasa tujiulize ikiwa ACACIA wakapatikana hawana kosa wamelitenda ndani ya mkataba ,Serikali itakuwa na ujumbe gani kwa wananchi? je bungeni nako ambako watu wamechangia watakuwa na mawazo gani kutokana na outcomes? Ikiwa Serikali ikaibuka kidedea je wale wote wanaokosoa hii hatua ya Rais watakua na jukwaa gani tena pa kusemea? Vyovyote vile viwavyo watu historial zitawahukumu, mikataba ya madini haikuwekwa na wakoloni Tumeingia sisi wenyewe, lazima mwisho tuwe jasiri kukubali tunapokosolewa na tujisahihishe. Bungeni mtu anajadili kama vile mikataba haikuwekwa na sisi tena tunaojiita wazalendo lakini siku zaja tutanjua yupi ni Mzalendo kati ya Tundu lissu kwa upande mmoja na wabunge wa ccm na mashsbiki wao. Siku zaja.
 
Wasi wasi akili! sisi wananchi watiifu kwa serikali yetu tunamuunga mkono bila shaka yoyote rais wa jamhuri yetu ya muungano,ama kwa hakika tuko tayari kwa lolote lile.
 
Wewe ulishawahi kusoma mikataba ya madini?kama bado basi hatuna cha kujadili, tutakuwa tunajadili tusichokijua
 
Ndugu zangu mbunge wangu Lisu aweza kuwa sasa. Lakini kwa sahihi. Tufanye kila linalowezekana kukomesha mikataba hii ya kinyonyaji hata kama tutalazimika kushitakiwa na kuwalipa fidia. Heri kuingia gharama kubwa ili kuwa na madini yetu. Lisu na wengine waungane kutusaidia kupunguza makali ya gharama lakini sio kuiogopa. Kumbukeni katika jitihada za kurudisha raslimali zilizokuwa chini ya wakoloni baadhi ya waafrika wenzetu walipoza uhai wao. Sasa sisi tunaogopa gharama wakati tutaendelea na uhai! Ninamshukuru mheshimiwa Lisu kwa kutufanya tutambue athari zinazoweza kutupata kama nchi lakini kwa sasa msaidieni Rais Magufuli angalau kupunguza athari na kama itashindikana basi tupambane nazo kwa maneno mengine wacha zitupate tu. E="Nomile, post: 21548475, member: 111927"]Ndugu Tanzania wale wote wanaofikiria serikali imefanya jambo sahihi na kwa kufata taratibu zote katika sakata la Madini (makinikia) wajue kwamba ipo siku jambo hili litafikia mwisho. for sure! na kwa jinsi ambovyo kuna gharama zimekua involved kuna isssue ya kulipana, na mwisho wenyewe kuna upande UTAPOTEZA na kuna upande utakao SHINDA sasa tujiulize ikiwa ACACIA wakapatikana hawana kosa wamelitenda ndani ya mkataba ,Serikali itakuwa na ujumbe gani kwa wananchi? je bungeni nako ambako watu wamechangia watakuwa na mawazo gani kutokana na outcomes? Ikiwa Serikali ikaibuka kidedea je wale wote wanaokosoa hii hatua ya Rais watakua na jukwaa gani tena pa kusemea? Vyovyote vile viwavyo watu historial zitawahukumu, mikataba ya madini haikuwekwa na wakoloni Tumeingia sisi wenyewe, lazima mwisho tuwe jasiri kukubali tunapokosolewa na tujisahihishe. Bungeni mtu anajadili kama vile mikataba haikuwekwa na sisi tena tunaojiita wazalendo lakini siku zaja tutanjua yupi ni Mzalendo kati ya Tundu lissu kwa upande mmoja na wabunge wa ccm na mashsbiki wao. Siku zaja.[/QUOTE]
Ndugu
Wasi wasi akili! sisi wananchi watiifu kwa serikali yetu tunamuunga mkono bila shaka yoyote rais wa jamhuri yetu ya muungano,ama kwa hakika tuko tayari kwa lolote lile.
 
wewe hizo habari zimejadiliwa sana humu na sasa tumeshiba. km unataka kuendelea na hoja hiyo basi njoo na kitu tofauti km vile nini kifanyike n.k. na siyo kurudiarudia tu yaleyale!!!!
 
Hili kweli ni angalizo, maana linaangalia pande zote mbili. Lakini nitapingana na wewe kidogo kwa kauli yako kwamba `itakuwaje kama ikidhihirika haya wanayoyafanya yako ndani ya mkataba' hapa ndipo tatizo la uelewa linapoanzia. Hivi kunauwezekano wa kuwepo mkataba unaosema ` kampuni itangaze kiwango cha chini cha madini tofauti na vipimo' au `kampuni itakuwa na ruksa ya kuficha baadhi ya madini yatatakayopatikana kwenye makinikia na kusema hayakuonekana'
Hata kama mikataba ni mizuri kiasi gani, kuna uwezekano pia mtu akadanganya tu. Hiki ndicho mh. raisi anashughulika nacho, japo pia kunahaja ya `kureview' mikataba yetu.
 
Back
Top Bottom