Sakata Kibanda: CCM Mkoa Maalum watoa tamko, wamuweka pabaya Dr. Slaa!

sikushangai ila kazi uliyopewa inakuharibu kwani inasababisha kila kitu kutegemea kuambiwa nini cha kufanya.kweli nimeamini kitu usipokitumia muda mrefu kinadhooofika.wewe uwezo wako umedhoofika sana hebu katafute ushauri kwa Dr tena akupe cha kuja kuandika.
swala la tuhuma kuthibitisha kama ni za kweli au propaganda ni muhimu kwani mnataka kuleta siasa kwenye vitu vya msingi katika taifa hili.
Kila siku tuhuma juu ya TISS na TISS wanakaa kimya Dr anatakiwa aeleze na wapi TISS imetoboka na sio kupiga propaganda tu majuukwani.
kaka kunahaja ya kila tuhuma kupatiwa majibu isijekua kama yale na nakupa siku kumi na nne then kimya.

Sio kazi ya Dr kenda vyombo husika kujieleza yeye keshatamka kwenye vyombo vya habari kinachotakiwa ni hao TISS wakamkamate wamhoji wapate ukweli, na kwa taarifa yako hawawezi kumkamata au kumhoji kabla hawajampandisha Lwakatare Mahakamani. Swali ni kwamba wanasubiri nini wasimpandishe mahakamani eti wanasema uchunguzi haujakamilika, uchunguzi upi huo. Wanamshikilia mtu huku hawajui wanamshikilia nini. Tatizo PolisCCM wakiamriwa kitu wao ni kutekeleza tu hata hawaangalii nini kitatokea mbeleni. Walifanikiwa na majambia ya CUF safari hii inakula kwenu na mpaka 2015 omba omba wa magogoni ataungana na Uhuru Kenyata na Rutho The Heig. Yetu macho na masikio.
 
Mkoa maalum wa vyuo vikuu, kanda ya Dar es salaam, umefanya kikao cha kujadili mipango na mikakati mbalimbali ya kuimarisha Mkoa huo na Chama kwa ujumla.

Pamoja na Ajenda hiyo, pia kikao hicho:-

· Kimelaani vikali matukio ya kuvamiwa, kudhuru mwili na kuuawa kwa baadhi ya viongozi wa Dini na wanahabari. Mkoa umesikitishwa sana na tukio la kushambuliwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) na Mhariri Mtendaji wa New Habari 2006, Ndugu Absalom Kibanda.
· Lakini pia, kimevitaka vyombo vya Dola kuwakamata, kuwashikilia na kuwachukulia hatua za kisheria wote waliothibitika kuhusika na matukio ya namna hiyo bila kuangalia Itikadi za Kivyama, Cheo ama Kundi. Na pia kuyataka makundi ya kijamii, wanaharakati na wanasiasa kuacha kuingilia/kuvuruga kwa namna yeyote taratibu za kisheria na kiusalama.
· Pia, kuwataka wanausalama kumhoji kwa kina Dr Slaa juu ya tuhuma zake dhidi ya Kurugenzi ya Usalama wa Taifa (TISS) na kumtaka kuthibitisha madai yake kuwa baadhi ya watendaji wa taasisi hiyo muhimu na nyeti wanaripoti kwake kinyume cha utaratibu, kanuni na maadili ya taasisi hiyo.

Kwani tuhuma hizo ambazo Dr Slaa amekuwa akizisema mara kwa mara tangu kipindi cha Kampeni za Urais Mwaka 2010 zimeanza kuaminika, lakini pia zimepelekea wananchi sasa kukosa imani na Taasisi hiyo na zaidi kupoteza imani juu ya uwezo wa serikali kuwalinda na kuwahakikishia Usalama wa maisha yao, ambapo ni jukumu la kikatiba la serikali.

Imetolewana:-

Daniel Zenda.

Katibu wa Wilaya (Dar es salaam.)
kama kweli polisi watamuoji au kwa namna moja au nyingine kumtaka Dr Slaa kutoa ufafanuzi wa kauli yake kama unavyopendekeza,na kuwacha kumuoji Nchemba ambae alisema anayo CD ya viongozi wa chadema wanavyopanga mauaji,basi tutajua polisi katika nchi hii ni kwa sababu ya ulinzi wa viongozi wa ccm tu,kutakuwa hakuna maana ya mtu yeyote asie mwana ccm kutoa ushauri au kusema lolote juu ya nchi hii,tukae tu,kusubiri kama tutapata ukombozi 2015.
 
Nilikua najadili hiyo hoja mliyotoa leo kuhusu TISS.Mlichofanikiwa pale Lumumba mchana wa leo ni kupiga picha na kuweka Facebook tu.Maanake leo mmefanya kazi ya kumfariji yule kijana aliyekwapua simu kweli

Mmeposti jioni hii kwa kutumia Ipad ya Zenda baada ya kujazana ujinga

achana nao hao!
 
What kind of reasoning is this?Badala ya kurudisha intergrity katika taasisi hiyo wanashughulikia watu wanaopata taarifa kutoka huko?What if kama wangekua ni maadui wa nje? Hizi akili primitive kama hizi zinapata wapi termerity ya kuitisha press conference au press release? mbona wanakidhalilisha sana chama chao na serikali kwamba ukomo wao wa kufikiria ndiyo umeishia kwenye busara za aina hii?

Ndiyo kazi waliyokua wakifanya lumumba leo?Maana huyo wa pili kutoka kulia aliyevaa shati la kijani ndiye Muandishi wa hili tamko leo.

View attachment 87183
Post yako inafanana kabisa na wewe maana naona hata hujailewa mada yenyewe au unafikiri hapa tunaongelea binti wa balozi uliyempa mimba?
 
achana nao hao!

akili kama za SLAA hizi, hivi mnafikiri kushambulia vyombo vya usalama ndo njia pekee ya kuindoa CCM madarakani? angalieni sana manake sasa inaonekana wapinzani wakubwa wa CDM ni vyombo vya ulinzi na siyo CCM , hii ni hatari kwa CDM huko mbeleni.
 
Kwani akikamatwa na kuhojiwa dr. Slaa ndio TISS itaaminiwa? Quite illogical and sweeping statement to be given by university students. May be the so called "university students!"

Mkuu philosophically unawapa credits zisizostahili hawa sio university students bali Students at university!
 
Mkoa maalum wa vyuo vikuu, kanda ya Dar es salaam, umefanya kikao cha kujadili mipango na mikakati mbalimbali ya kuimarisha Mkoa huo na Chama kwa ujumla.

Pamoja na Ajenda hiyo, pia kikao hicho:-

· Kimelaani vikali matukio ya kuvamiwa, kudhuru mwili na kuuawa kwa baadhi ya viongozi wa Dini na wanahabari. Mkoa umesikitishwa sana na tukio la kushambuliwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) na Mhariri Mtendaji wa New Habari 2006, Ndugu Absalom Kibanda.
· Lakini pia, kimevitaka vyombo vya Dola kuwakamata, kuwashikilia na kuwachukulia hatua za kisheria wote waliothibitika kuhusika na matukio ya namna hiyo bila kuangalia Itikadi za Kivyama, Cheo ama Kundi. Na pia kuyataka makundi ya kijamii, wanaharakati na wanasiasa kuacha kuingilia/kuvuruga kwa namna yeyote taratibu za kisheria na kiusalama.
· Pia, kuwataka wanausalama kumhoji kwa kina Dr Slaa juu ya tuhuma zake dhidi ya Kurugenzi ya Usalama wa Taifa (TISS) na kumtaka kuthibitisha madai yake kuwa baadhi ya watendaji wa taasisi hiyo muhimu na nyeti wanaripoti kwake kinyume cha utaratibu, kanuni na maadili ya taasisi hiyo.

Kwani tuhuma hizo ambazo Dr Slaa amekuwa akizisema mara kwa mara tangu kipindi cha Kampeni za Urais Mwaka 2010 zimeanza kuaminika, lakini pia zimepelekea wananchi sasa kukosa imani na Taasisi hiyo na zaidi kupoteza imani juu ya uwezo wa serikali kuwalinda na kuwahakikishia Usalama wa maisha yao, ambapo ni jukumu la kikatiba la serikali.

Imetolewana:-

Daniel Zenda.

Katibu wa Wilaya (Dar es salaam.)

Yale yale ya ZENDA toka akiwa chuo kikuu cha DODOMA.. Kuropoka na kuzunguma ili kugain political popularity... Mlikuwa wapi siku zote mpaka mje mtoe tamko leo... Acheni tabia ya ya kujipendekeza kwa matamko yasiyokuwa na tija.....
 
post yako inafanana kabisa na wewe maana naona hata hujailewa mada yenyewe au unafikiri hapa tunaongelea binti wa balozi uliyempa mimba?

acha wivu wa kitoto wewe kilaza,ulitaka hiyo mimba upewe wewe?
Si uende ukategeshe huo mnanihii wako wakujaze kama unapenda.
 
Sio kazi ya Dr kenda vyombo husika kujieleza yeye keshatamka kwenye vyombo vya habari kinachotakiwa ni hao TISS wakamkamate wamhoji wapate ukweli, na kwa taarifa yako hawawezi kumkamata au kumhoji kabla hawajampandisha Lwakatare Mahakamani. Swali ni kwamba wanasubiri nini wasimpandishe mahakamani eti wanasema uchunguzi haujakamilika, uchunguzi upi huo. Wanamshikilia mtu huku hawajui wanamshikilia nini. Tatizo PolisCCM wakiamriwa kitu wao ni kutekeleza tu hata hawaangalii nini kitatokea mbeleni. Walifanikiwa na majambia ya CUF safari hii inakula kwenu na mpaka 2015 omba omba wa magogoni ataungana na Uhuru Kenyata na Rutho The Heig. Yetu macho na masikio.

Siamini kama Idara ya usalama wa Taifa inaweza kupoteza muda wa kulumbana na SLAA, nadhani walishamuona kama vuvuzela fulani tu na kumpuuza. Na hakuna kitu kinachouma kama kupuuzwa, ndiyo maana SLAA anajaribu kuzidi kuichokonoa akidhani itamjibu na kujikuta anazidi kupuuzwa jambo linalomkera sana. :bounce:
 
Kwanza hadi sasa Mkurugenzi wa usalama wa Taifa Rashid Othumani pamoja na waziri husika wa utawala bora(if there is any) alitakiwa awe amejiuzulu.Hii ni gross misconduct!

kwa kosa la Kuwaingiza mtegoni na kuwanasa walotofoa Jicho la Gwiji wa Habari Kibanda!
 
Hapa siyo Facebook.Mnatia aibu

Ni kweli kabisa hapa siyo facebook, bali na Jamvi la wahuni kama wewe la kujificha msiguswe, lakini sasa tufanyeje itabidi tuwe tunawaambia tu hata kama MODS wanaumia na kutuban
 
kwa kosa la Kuwaingiza mtegoni na kuwanasa walotofoa Jicho la Gwiji wa Habari Kibanda!

hahahaaa, mkuu kumbe umeliona na wewe, CDM bana sasa ni kama ndege aliyenaswa kwenye kiota chake, wanatapatapa ile mbaya.
 
Siamini kama Idara ya usalama wa Taifa inaweza kupoteza muda wa kulumbana na SLAA, nadhani walishamuona kama vuvuzela fulani tu na kumpuuza. Na hakuna kitu kinachouma kama kupuuzwa, ndiyo maana SLAA anajaribu kuzidi kuichokonoa akidhani itamjibu na kujikuta anazidi kupuuzwa jambo linalomkera sana. :bounce:

Hivi sasa Babu wa Loliondo akisimama na hicho kikware lazima akibwage, Mtaji wa kura za 2010 kaenda kupanda Deci anasubiri zizae 2015!
 
Hawa vijana wanajitia aibu, wanamtia aibu mwenyekit wa chama chao, wanatia aibu wanacccm wachache ambao akili zao ni timamu, wanalitia aibu taifa na vijana wenzio.

In fact, as we approach 2015, these will turn to 'Interahamwe'- irrationally doing unimaginable things.
 
What is integrity? Integrity to who? Mimi naamini kwa dhati ya moyo wangu kuwa hao TISS ( kama kweli wapo) wanaotoa taarifa kwa Katibu wa CDM wana Itegrity kwa nchi yao na sio kwa chama. Wanamini kwa dhati ya mioyo yao kuwa inachofanya serikali sio sahihi kwa maslahi, ustawi wa nchi na wananchi wake. Taratibu za utumishi wa TISS ni kutopingana waziwazi na viongozi wako. Sasa watumishi hao wanaona ni busara kuzipenyeza taarifa hizi kwa mtu ambaye atazitoa haradharani na akizitoa hatapata madhara kama yale ambayo angeyapata kama angaliyasema yeye mtumishi wa TISS. Hata katika genge la wachawi wapo wachawi wenye nafuu, hata katika genge la majambazi wapo wenye huruma. Kwa jumla katika kundi la wahalifu na wasio wahalifu watu wanatofautiana. Binafsi TISS wanaotoa taarifa za ndani ya serikali ni waadilifu zaidi kuliko wanaoficha kwaajili ya kuwafurahisha wakubwa. Kimsingi TSS ipo kwa ajili ya maslahi ya nchi kuliko inavyofikiriwa kuwa ni kwa ajili ya viongozi. Kusema ni kwa ajili ya viongozi kwa kweli ni kama kebehi kwa TSS. TSS inapaswa kusimamia utendaji wa kila mtumishi akiwemo pia raisi wa nchi
What kind of reasoning is this?Badala ya kurudisha intergrity katika taasisi hiyo wanashughulikia watu wanaopata taarifa kutoka huko?What if kama wangekua ni maadui wa nje? Hizi akili primitive kama hizi zinapata wapi termerity ya kuitisha press conference au press release? mbona wanakidhalilisha sana chama chao na serikali kwamba ukomo wao wa kufikiria ndiyo umeishia kwenye busara za aina hii?

Ndiyo kazi waliyokua wakifanya lumumba leo?Maana huyo wa pili kutoka kulia aliyevaa shati la kijani ndiye Muandishi wa hili tamko leo.

View attachment 87183
 
Hivi huyu ni Zenda gani?yule wa IFM au yule kilaza wa Udom?mana hawa jamaa wanafanana kama Sox
 
Back
Top Bottom