Ninani kakudanganya kuwa Uaskofu unasomewa?kasome maandiko (1timotheo3:1-7)Tito 1:7-8)
Wewe nawe ni wale wale. Kwa makusudi umeshindwa kujibu swali lake la pili. Ni nani alimpa. Uaskofu ni wakfu anaopatiwa mtu. Hakuna padri, shekhe, mchungaji anayejipa wakfu huo!! Hata manabii na mitume hawakujibu wakfu huo!!
Uaskofu au ushekhe ni madaraka! Bado tusaidie katika swali letu - ni nani alimtia wakfu Gwajima??