Saikolojia ya mwanamke - Fahamu kuhusu mtoto wa kike

Iyo Ni kwa wanawake wa kiafrika TU.

Mbona wazungu wanaoga nazo na hawana tabu?
Nadhani unafaham kuwa kwa asili yao ni ngumu kuongezea nywele nyingine ilihali wanazo ndefu na kuzitengeneza wajiskiavyo..

Japokuwa wengine wanaweka weavings pia ila products zao ni tofauti na zetu huku..

Sasa mimi mdada wa tandale ninnue wigi/weaving la elfu 7 hapo manzese afu nioge kuanzia kichwani na weaving langu+ hali ya hewa yetu hii🥵🥵. ..unataka watu wazimie tukipishana😂😂😂
 
Kukaa na kumsoma kiumbe mwanamke saiklojia yake ni kupoteza muda tu,maana huyohuyo mwanamke hajawahi jua anahitaji nini toka kwa mwanaume.

Sasa wewe mwanaume mwenzangu endelea kupoteza muda wako kumsoma mwanamke,wakati mwenzio akienda hedhi tu kila kitu kinafutika na kuwa (O) na anaanza upya
 
Ni kweli lakini Mkuu usisahau kama kuna urithi wa DNA Pia.
Kama kuna urithi wa DNA maana yake kila mtu ana DNA za kwake,na kama ni hivyo maana yake kila mtu ana saikolojia yake.

So kama kila mtu ana saikolojia yake maana yake hautakiwi kuwa na saikolojia moja ambayo utasema kuwa kila mtu anakuwa nayo wakati kila mtu ana saikolojia yake na DNA zake.
 
Unasema saikolojia za wanawake zinategemea background ya walikozaliwa za wanaume zinategemea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mada ni wanawake ndio maana nimewataja wanawake pekee.

Ingelikuwa amewagusa na wanaume ningesema pia background za wanaume zinatoka wapi,hivyo sijawataja wanaume kwa kuchunga muktadhwa wetu lakini hata wanaume saikolojia zao zinategemea na malezi.

Malezi ndio huzaa saikolojia za watu.
Ndio maana leo mtu wa kagera atakuwa na saikolojia tofauti na mtu wa mtwara katika jambo la aina moja kila mtu atareact kwa namna tofauti.
 
Unasema saikolojia za wanawake zinategemea background ya walikozaliwa za wanaume zinategemea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mada ni wanawake ndio maana nimewataja wanawake pekee.

Ingelikuwa amewagusa na wanaume ningesema pia background za wanaume zinatoka wapi,hivyo sijawataja wanaume kwa kuchunga muktadhwa wetu lakini hata wanaume saikolojia zao zinategemea na malezi.

Malezi ndio huzaa saikolojia za watu.
Ndio maana leo mtu wa kagera atakuwa na saikolojia tofauti na mtu wa mtwara katika jambo la aina moja kila mtu atareact kwa namna tofauti.
 
Nadhani unafaham kuwa kwa asili yao ni ngumu kuongezea nywele nyingine ilihali wanazo ndefu na kuzitengeneza wajiskiavyo..

Japokuwa wengine wanaweka weavings pia ila products zao ni tofauti na zetu huku..

Sasa mimi mdada wa tandale ninnue wigi/weaving la elfu 7 hapo manzese afu nioge kuanzia kichwani na weaving langu+ hali ya hewa yetu hii. ..unataka watu wazimie tukipishana
Ha ha ha...
Hapo kumbe tatizo Sio nywele.

Bali kuiga ili afananane na wenye nywele zao za asili
 
Mada ni wanawake ndio maana nimewataja wanawake pekee.

Ingelikuwa amewagusa na wanaume ningesema pia background za wanaume zinatoka wapi,hivyo sijawataja wanaume kwa kuchunga muktadhwa wetu lakini hata wanaume saikolojia zao zinategemea na malezi.

Malezi ndio huzaa saikolojia za watu.
Ndio maana leo mtu wa kagera atakuwa na saikolojia tofauti na mtu wa mtwara katika jambo la aina moja kila mtu atareact kwa namna tofauti.
Inshort,
Mwanaume wa Mtwara au tanga anampiga mkewe kwa upande KANGA.

WAKATI

Mwanaume wa kagera au Mara anampiga mkewe kwa upande wa PANGA
 
Back
Top Bottom