Saikolojia: Jinsi ya kuondokana na mawazo yanayoumiza au kuhuzunisha

Socialize mkuu,kwenye nyumba za ibada,michezo n.k.labda ungefafanua kidogo nature ya maisha yako ungepata msaada mzuri zaidi,ingawa humu JF watu tuko tofauti,comments nyingine unaweza ukawa unazipotezea...
Nafkr udhaifu wangu ndo huo sasa
 
Hata Mimi npo hvyo,nawaonea wivu wanaokufa,nilitaman corona inifyeke lakini nayo ikapotea,

Hii inshu ya kuona hakuna jipya tena kwangu hapa duniani,ilianza pale nilipojichanganya katika maisha kwa kuchagua kozi isiyo na inshu nkakosa ajira,nikawa na maisha magumu kila siku kuwaza hadi usingizi nakosa.

Lakini ajabu ni kuwa sahivi niko vizur kiuchumi,nakpato cha 600,000 kwa mwezi lakini bado najiona sina kingine hapa duniani heli kuondoka,ila napata usingizi vizuri na sina mawazo kama zamani
 
Hata Mimi npo hvyo,nawaonea wivu wanaokufa,nilitaman corona inifyeke lakini nayo ikapotea,

Hii inshu ya kuona hakuna jipya tena kwangu hapa duniani,ilianza pale nilipojichanganya katika maisha kwa kuchagua kozi isiyo na inshu nkakosa ajira,nikawa na maisha magumu kila siku kuwaza hadi usingizi nakosa.

Lakini ajabu ni kuwa sahivi niko vizur kiuchumi,nakpato cha 600,000 kwa mwezi lakini bado najiona sina kingine hapa duniani heli kuondoka,ila napata usingizi vizuri na sina mawazo kama zamani
Tuko tunafanana..sasa wew hyo hali umeweza vipi kuimudu ili kufurahi ukiwa hai
 
Mkuu fikiria kuhusu familia yako utaiachaje na utamuacha vipi mama yako.
Utaacha vipi wanaokutegemea.

Pia weka malengo makubwa zaidi ili uendelee kuyapigania malengo yako mpaka uyafikie.

Kuna mtu anaitwa elon yeye ameweka malengo ya kufanya kila njia mpaka binadamu aweze kuishi mars na aigeuze mars kama dunia.

Sasa huyo jamaa anaogopa hata kufa bila ya kufika mars sababu malengo hayajakamilika.

Weka malengo makubwa kuwa na responsibility na majukumu juu ya wengine then utaona changes.

Simple and clear unapitia au kuhisi hivyo sababu huna sababu ya kuishi.
 
Hata Mimi npo hvyo,nawaonea wivu wanaokufa,nilitaman corona inifyeke lakini nayo ikapotea,

Hii inshu ya kuona hakuna jipya tena kwangu hapa duniani,ilianza pale nilipojichanganya katika maisha kwa kuchagua kozi isiyo na inshu nkakosa ajira,nikawa na maisha magumu kila siku kuwaza hadi usingizi nakosa.

Lakini ajabu ni kuwa sahivi niko vizur kiuchumi,nakpato cha 600,000 kwa mwezi lakini bado najiona sina kingine hapa duniani heli kuondoka,ila napata usingizi vizuri na sina mawazo kama zamani
duniani kuna viumbe wa ajabu sana aisee
 
Tuko tunafanana..sasa wew hyo hali umeweza vipi kuimudu ili kufurahi ukiwa hai
Naishi nayo hvo hvo,furaha yangu kwasasa nikuona naweza fanya chochote hasa inshu ndogo ndogo znazohusiana na pesa
 
Hata Mimi npo hvyo,nawaonea wivu wanaokufa,nilitaman corona inifyeke lakini nayo ikapotea,

Hii inshu ya kuona hakuna jipya tena kwangu hapa duniani,ilianza pale nilipojichanganya katika maisha kwa kuchagua kozi isiyo na inshu nkakosa ajira,nikawa na maisha magumu kila siku kuwaza hadi usingizi nakosa.

Lakini ajabu ni kuwa sahivi niko vizur kiuchumi,nakpato cha 600,000 kwa mwezi lakini bado najiona sina kingine hapa duniani heli kuondoka,ila napata usingizi vizuri na sina mawazo kama zamani
Pole sana! Hata mm hii hali inanitokea sometimes ila napiga moyo konde then naangalia vitu ambavyo sijafanikiwa. Hivyo vitu vinanipa hari ya kupambana zaidi na zaidi
 
Hata Mimi npo hvyo,nawaonea wivu wanaokufa,nilitaman corona inifyeke lakini nayo ikapotea,

Hii inshu ya kuona hakuna jipya tena kwangu hapa duniani,ilianza pale nilipojichanganya katika maisha kwa kuchagua kozi isiyo na inshu nkakosa ajira,nikawa na maisha magumu kila siku kuwaza hadi usingizi nakosa.

Lakini ajabu ni kuwa sahivi niko vizur kiuchumi,nakpato cha 600,000 kwa mwezi lakini bado najiona sina kingine hapa duniani heli kuondoka,ila napata usingizi vizuri na sina mawazo kama zamani
kunywa pombe.
 
Hata Mimi npo hvyo,nawaonea wivu wanaokufa,nilitaman corona inifyeke lakini nayo ikapotea,

Hii inshu ya kuona hakuna jipya tena kwangu hapa duniani,ilianza pale nilipojichanganya katika maisha kwa kuchagua kozi isiyo na inshu nkakosa ajira,nikawa na maisha magumu kila siku kuwaza hadi usingizi nakosa.

Lakini ajabu ni kuwa sahivi niko vizur kiuchumi,nakpato cha 600,000 kwa mwezi lakini bado najiona sina kingine hapa duniani heli kuondoka,ila napata usingizi vizuri na sina mawazo kama zamani
Umefikia hatua mbaya sana! Tafuta wataalamu!! Nasikitika sina contacts zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom