g vizy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2016
- 896
- 977
tatizo la @Oozg Tz huyu mwamba hakua na pesa hapo awali alipozipata za kumudu mahitaji yake ya hapa na pale marafiki nao wakajitokeza wa kumpa kampani akajikuta maisha yanarejesha amani yakeNaishi nayo hvo hvo,furaha yangu kwasasa nikuona naweza fanya chochote hasa inshu ndogo ndogo znazohusiana na pesa
pesa imerejesha marafiki na kumudu baadhi ya mahitaji yake ambayo.hapo awali hakuweza kuyamudu