Saikolojia: Ishara zinazoonesha wewe ni handsome/una mvuto wa kiume tofauti unavyodhani

u handsome ndo sifa ya mwisho kabsa mwanaume huambulia baada ya kukosa sifa za mwanaume. sifa halis ni akili na elimu, ujuz na maarifa, pesa na mali, hekma na busara, ujasiri na usimamizi, ubunifu na ujasiriamali. ukiona unawaza uzuri jua una dalili zote za ushoga kamuone dr kwa dawa ya kucontrol hormones haraka.
 
Sijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,

Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea .

Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,

Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......
HAYAJA KUKUTA WEWE,
 
Mkuu hiyo namba 1 kwangu mm naona sana tu.. Kweli Shombe LA kisomali nawaumiza warembo.. Alafu najikuta sina time nao kabisa
 
Back
Top Bottom