Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,054
- 74,462
Kinyaa kabisa.Kuna mambo yanatia aibu.
Kinyaa kabisa.Kuna mambo yanatia aibu.
hahahahahahaMama yako bado anatembelea Carina ya 1994? Pale kwenu umewanunulia sofa na TV au ndio zilezile zilizochanika na kiTV cha chogo
Nimekuja PM umefunga mlangosina wwnzangu mie, samahani sana.
u handsome ndo sifa ya mwisho kabsa mwanaume huambulia baada ya kukosa sifa za mwanaume. sifa halis ni akili na elimu, ujuz na maarifa, pesa na mali, hekma na busara, ujasiri na usimamizi, ubunifu na ujasiriamali. ukiona unawaza uzuri jua una dalili zote za ushoga kamuone dr kwa dawa ya kucontrol hormones haraka.
HAYAJA KUKUTA WEWE,Sijawahi amini km wapo mashoga wanao washobokea au kutongoza wanaume straight,
Huo muda wanautoa wapi? Km wapo kweli bas ni wale ambao hawana future yeyote ya kimaisha au wazee waliojichokea .
Shoga smart na anayejitambua yupo buzzy kutafuta mahitaji ya kukidhi maisha yake tena kwa njia halali, na anakua na mwanaume m1 ambaye anatosheleza kwa kukidhi haja ya hisia zake ktk mwili,
Shoga anatakiwa atongozwe tena kwa heshima zote, mbona wanaume mabasha rijali na halisia wapo wengi tyuuh, sasa hao mashoga wanaoshobokea na kutongoza wanaume straight wanakwama wapi?
......
wewe ni handsome kutokea chini kwenye listMimi ni handsome lkn sijakutana hata na kimojawapo hapo
freshUlichoandika ni sahihi kabisa mkuu hilo naliona sana kwangu,ninachoshukuru hela sina,ila nadhani ni makusudio ya Muumba nisife na ukimwi.
hahaha😂😂😀
😂😂😂😂😂wewe ni handsome kutokea chini kwenye list