princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
Nisaidie kwakwelimaana sijui nipoje,yani kama jongoo ukinigusa tu nmesusa.. sijalishi ni niniLinawezekana sababu "kususa" ni defence mechanism baada ya kukasirishwa. Ntarudi kukujibu namna unaweza kuacha