Saif Gaddaffi auwawa katika shambulizi la NATO

Mara baada ya taarika kusema kuwa mtoto wa Gadafi ameuwawa na Nato,wengi wetu wamefurahi
Binafsi nayalaani kama ambavyo nililaani uvamizi wa kihuni,kwa yeyote anayeitakia mema Africa hawezi kushabikia uvamizi na mauaji haya ya mtoto wa Ghadafi na raia wa Libya,kimsingi Nchi za magharibi hazina mapenzi ya kweli na Africa,wanachotaka ni mafuta ya Libya na rasilimali nyingine,kama Ghadafi angeondolewa na nguvu ya umma basi nisingekuwa na neno,hili la kuruhusu uvamizi,na kuuwawa kwa nchi huru kamwe sitalikubali.Historia itatuhukumu

unamjua Gadafi vizuri na utawala wake?natamani hata yeye wamuuwe kwani Tanzania tutapona'wtu hwa wa mtandao wa akaida wanafanya madhambi mengi sana.
 
wewe kagemru una matatizo sana..ni juha tu na zuzu atakae sema huyu kijana wa gadaff kuuwawa ni sawa..walaaniwe hawa wazungu wauwawe na vimbunga na matetemeko!!
 
Na Gadafi aliposhirikiana na idi amini kupiga kule bukoba ,kuangushwa kwa ndege kule lockerbie scotland unasemaje?ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga kwa gadafi inatosha yeye aondoke tu
 
unamjua Gadafi vizuri na utawala wake?natamani hata yeye wamuuwe kwani Tanzania tutapona'wtu hwa wa mtandao wa akaida wanafanya madhambi mengi sana.
Duh! yaaani wewe ndio unamjua Ghadafi vizuri sio,au chuki inayotokana na stori zenu za katika vijiwe vya kahawa ndio inayokusumbua?Na hakika hata wewe umjui ghadafi.
 
unamjua Gadafi vizuri na utawala wake?natamani hata yeye wamuuwe kwani Tanzania tutapona'wtu hwa wa mtandao wa akaida wanafanya madhambi mengi sana.

toa hoja.Nadhani wewe unafuatilia vyombo vya habari ambavyo vinapotosha ukweli.Make RESEARCH and find out jinsi watu wa LIBYA walivyokuwa wanafaidika na utawala wake.Sasa itabaki HISTORY
 
wewe kagemru una matatizo sana..ni juha tu na zuzu atakae sema huyu kijana wa gadaff kuuwawa ni sawa..walaaniwe hawa wazungu wauwawe na vimbunga na matetemeko!!

watu wengine bwana sijui mfungiwe kidhibiti mdomo,kwanini unataka kila mtu akubaliane na hoja yako.Bora niwe zuzu kwa ninaayoyajua kuliko kuwa bendera mfuata upepo.Naheshimu hata maneno na matusi yako.
 
Hata kama Gaddafi ni mbaya na muuaji kiasi gani hukumu yake sio kuuwa watoto wake ambao hawana hatia.

Hata kama Gaddafi ni mbaya kiasi gani anapaswa kufikishwa mbele ya sheria , nani dunia hii ameua watu wengi kama George Bush? mbona hawakumvamia ?

Africa wanapaswa kuwa pamoja kwenye hili, kwani huu ni uonevu .

Hivi Gaddafi kapona? mbona hawajasema zaidi ya jana kusema kuwa alikuwa kwenye nyumba hiyo na mpaka sasa haijaelezwa kama yupo hai au naye alikufa na kama hakufa lazima atakuwa aliumia anatibiwa wapi?
 
toa hoja.Nadhani wewe unafuatilia vyombo vya habari ambavyo vinapotosha ukweli.Make RESEARCH and find out jinsi watu wa LIBYA walivyokuwa wanafaidika na utawala wake.Sasa itabaki HISTORY

Gadafi hana chochote cha kukumbukwa na asili ya ubaguzi Mbona alituma silaha na wanajeshi kuua kule kagera ?aliyeangusha ndege ya lockerbie akapokewa kama shujaa, Nato wamepata chanzo mm naona Bora wamnyuke tu atie adabu
 
Wanaua hadi watoto....shame on them. Natamani siku moja lighaidi lijitoe mhanga liwalipue watoto wa nanihino......ili nao wajisikie machungu ya hao wanaowaulia wanao.

Hii ni double standard. Kama Gadafi aliuawa raia wengi tu kabla NATO hawajaingia Libya, kisa eti watu wameandamana kumpinga. je hao hawakuwa watu? Tena na watoto wadogo walikuwemo. Sasa maisha ya nani yana thamani na yapi hayana thamani? AU walikuwa wapi kabla NATO hawajaingilia, zaidi ya nusu mwezi maelfu ya watu walikuwa wanakufa kila siku na wengine wakikimbia makwao. Sasa NATO walipoingia ndio unaitwa ubeberu. Huu ndio ukatili wa watawala wa kiafrika!!!
 
Masanja!. baada ya waasi kuteka zaidi ya asilimia 50 ya nchi, Gadafi akaamua kuikomboa mji mmoja baada ya mwingine, hakucommit mauaji ya halaiki katika miji hiyo!, miji kama ras-lanuf, brega, al-zuwahiya yote ilikuwa mikononi mwa waasi kisha ikakombolewa na majeshi ya ghadafi lakini hakuna mauaji ya halaiki yaliyo take place, sasa ni kipi kinakufanya uamini kwamba Gadafi angeingia baenghazi angecommit genocide?. Masanja kuna technic moja ya propaganda inaitwa "ommision of facts", hii technic wanaitumia wataalamu wa propaganda kuondoa portion ya ukweli ili kutimiza matakwa yao mfano, majeshi ya Gadafi yalipoizingira Benghazi Gadafi alisema, waasi wote watakoweka silaha zao chini basi watapewa amnesty, ila wale watakoendelea kupambana na majeshi ya serikali watakuwa treated without mercy", sasa vyombo vya habari vya magharibi vikaichukua portion ya waasi kuwa terated without mercy wakaipropagate, Obama naye akaichukua hiyo portion na kujenga case ya intervention kwamba the world cannot remain without doing anything while the dictator is threatening to treat his own people without mercy! ila portion ya amnesty ikiwa wataweka silaha zao chini wala hawaizungumzii!!. unaona hapo mchezo wa propaganda unavyochezwa?. Kuna ishu nyingine iliuzwa sana na vyombo vya Magharibi pindi mzozo ulipoanza, walidai Gadafi anatumia ndege za kivita kupambana na waandamanaji, Warusi na vifaa vyao walikuwa wanamonita anga ya Afrika kaskazini wakasema hakuna kitu kama hicho!, again wanatumia uwongo kujstify intervention!. deception, deception, deception!. Gadafi ameshakubali ceasefire kwa nini NATO waendelee kumwaga mabomu, ni dhahiri NATO lengo lao ni regime change, na tena regime yenyewe wanayitaka ni ile pro-west otherwise hawataacha mpaka hii issue igeuke liability kwao au mpaka wamuondoe Gadafi!.

Distortation of facts!!! Wanaotaka regime change kwa kuanzia ni wa Libya na sio west!! Imewachukua muda hata US kutafuta na ku study hawa wanaopinga serkali ya Gadaffi ni watu wa namna gani kabla hata ya kuwasaidia. Huko nyuma Gadaffi alikuwa akisema mwenyewe hawa ni Alcaeda na wavuta bangi. Sasa US na Europe unataka kusema ndio walioanzisha sakata hili. Hii ni kujaribu kuruka ukweli. Wananchi wa Libya wamemchoka Gadaffi. Na Gadaffi hataki kuwasilikiliza, anaongea lugha ya mtutu. Basi wacha apambane na mtutu. Na aliowaua walikuwa wanadamu wenye haki ya kuishi. Kosa lao walionyesha hisia zao kuwa hawamtaki mtawala dikteta!!!!
 
Dunia haitokuwa na amani mpaka CHINA iitawale dunia. BADO MUDA MFUPI KUTIMIA NDIPO AFRIKA NAYO ITAANZA KUSHAMIRI. Kwa mtoto huyo wa Ghaddafi inasikitisha, huyu alikuwa tofauti sana na alidiriki hata kuungana na waandamanaji, Libya haitotawalika na itakuwa ni mithili ya Iraq/Afghanistan/Pakistan.
 
Mara baada ya taarika kusema kuwa mtoto wa Gadafi ameuwawa na Nato,wengi wetu wamefurahi
Binafsi nayalaani kama ambavyo nililaani uvamizi wa kihuni,kwa yeyote anayeitakia mema Africa hawezi kushabikia uvamizi na mauaji haya ya mtoto wa Ghadafi na raia wa Libya,kimsingi Nchi za magharibi hazina mapenzi ya kweli na Africa,wanachotaka ni mafuta ya Libya na rasilimali nyingine,kama Ghadafi angeondolewa na nguvu ya umma basi nisingekuwa na neno,hili la kuruhusu uvamizi,na kuuwawa kwa nchi huru kamwe sitalikubali.Historia itatuhukumu
Chance ya umma kumwondoa Ghadafi ni zero.Nchi ambayo haina Constitution zaidi Green book aliyoandika yeye mwenyewe inakupa picha ni kiasi gani alikuwa na nguvu.
 
Mara baada ya taarika kusema kuwa mtoto wa Gadafi ameuwawa na Nato,wengi wetu wamefurahi
Binafsi nayalaani kama ambavyo nililaani uvamizi wa kihuni,kwa yeyote anayeitakia mema Africa hawezi kushabikia uvamizi na mauaji haya ya mtoto wa Ghadafi na raia wa Libya,kimsingi Nchi za magharibi hazina mapenzi ya kweli na Africa,wanachotaka ni mafuta ya Libya na rasilimali nyingine,kama Ghadafi angeondolewa na nguvu ya umma basi nisingekuwa na neno,hili la kuruhusu uvamizi,na kuuwawa kwa nchi huru kamwe sitalikubali.Historia itatuhukumu

Efatah habari. Huyo mtoto wa Gaddafi ni mmoja tu, mbona hukuanza kulaaani mamia ya Walibya waliouwawa na Gadaffi? Ni kweli Westerners wana uchu na mafuta
ya Libya ila tuangalie pande zote.
 
wewe kagemru una matatizo sana..ni juha tu na zuzu atakae sema huyu kijana wa gadaff kuuwawa ni sawa..walaaniwe hawa wazungu wauwawe na vimbunga na matetemeko!!
utamuitaje mwenzako juha, na we ni kobe, gadafi kwani ni watu wangapi majeshi yake yamewaua, ngoja na yey apate uchungu, safi sana nato
 
Apigwe tu! Huyu jamaa hakutupenda kabisa watanzania. Nia yake "iliyoshindwa" alitaka tupigwe na Idd Amin Dada (yeye akimsaidia kwa siraha nzito). Askari wetu walikufa kwa ajili yake. Je damu ya mtoto wake ni bora kuliko ile ya ndugu zetu? Mnashangaza sana mnapomtetea mtu aliyetaka kutuangamiza na kuchukua ardhi ya nchi yetu...Ashindwe na ....
 
toa hoja.Nadhani wewe unafuatilia vyombo vya habari ambavyo vinapotosha ukweli.Make RESEARCH and find out jinsi watu wa LIBYA walivyokuwa wanafaidika na utawala wake.Sasa itabaki HISTORY
mijitu mingine bwana, kawaambie watoto hvyo , yani wanaofaidika ndo waandamane kukutaka uondoke, jaribu kurudisha mawazo yako fresh , ila ckulaumu leo weekend, moja baridii, u a 2 in 1
 
Ni aibu kwa AU,na Barack Obama alaaniwe na mwakani asishinde uchaguzi!
nani amlaani sasa, mbona huwalaani ccm kwa mauwaji ya arusha unataka kumlaani obama, waambie wenzako mr mark, jaykey wakusaidie kuwalaani hao unaowataka, ila dua la kuku halimpati mwewe!
 
Waafrika wenye uchungu wa bara lenu mko wapi? Mbona huo uchungu mnaouonyesha kwa Gadffi hatuuoni hapa kwenye madini yetu? Pili, swala la nguvu za uma dhidi ya Gadaffi, aliwafanya nini waliojaribu kuandamana dhidi yake, aliwaita mende na kila aina ya tusi kuwa-degrade wanaompinga. Alitumia hata anti-air craft kuwapiga waandamanaji! La muhimu tujue kwamba vita havina macho, kwa hiyo ukiona wananchi wa kawaida wanapigwa na mabomu basi hata Gadaffi and his family is not immune. Wazungu tunawaleta wenyewe kwa kujua na kwa kutokujua!
 
Hofu yangu ni kuwa Mtoto wa ghadafi amekufa bila kutubu dhambi zake hivyo kumpelekea kwenye everlasting condemnation to hell, Otherwise mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo kubondwa kwake kichwa ni halali ya nchi za magharibi, vinginevyo akisurvive anaweza kuendeleza uovu wa baba yake e.g mauaji ya watanzania vita ya kagera, mauaji ajali ya ndege lockerbie, global sponsorship of terrorism, the list goes on and on............
 
Back
Top Bottom