Ni yule wa mwisho, miaka 38, aliyemkaidi baba yake na kujiunga na Waasi kwa muda.
Taarifa ya bbc yasema ana miaka 29 na ni mwanafunzi alikua akisoma ujerumani
Ni yule wa mwisho, miaka 38, aliyemkaidi baba yake na kujiunga na Waasi kwa muda.
idadi ya vifo na hasara itapunguaAkubali yaishe hili iweje wakati hata akikubali watamuua tu.
tatizo la hao wanaingilia hawaeleweki (US, British, France )
Kwa jinsi sisi tunavyoona wanaingilia sehemu
ambazo kuna kitu wanaki protect kitu ambacho
wao wana benefit nacho.. kama kweli wagekuwa
wanatumia hizo nguvu zao za ki military kila panapo
hitajika basi wangepata saport za nchi nyingi sana....
idadi ya vifo na hasara itapungua
Gddafi naona anayeyataka yote haya-kwa nini asingetumia ustaarabu wa kuachia madaraka-na kuwapawatu wengine then wafanye national reconcilliation kiliko yeye kubakia hapo madarakani-la sivyo nae watamuua-maana naamini ndio target
Arsene Wenger hatutofautiani kwa hoja ila tunachoona ni madhara makubwa mbele kuliko surrender ya Ghadaf kwa kuwa inajulikana kuwa vita ikiendelea kamwe hatoshinda,sasa kama matokeo yameshajulikana ni bora kukubali yeshewao pia kama wasinge mvamia si idadi ya vifo ingepungua?
Unataka kuniambia idadi ya watu waliokufa iraq wakati wa utawala wa sadam ni zaidi ya idadi ya waliokufa baada jamaa kuvamia?
This is not acceptable, particularly after he has asked cease fire and was willing to negociate. Sasa kumuua mtoto wake na wajukuu wake wanaprotect Libyan gani? Huu ni uuwaji wa wazi kabisa, nasikitika watu wanashangilia!
Hakuna kitu kama hicho mkuu.
Mpaka wamalize Libya Assad atakuwa keshaua wangapi? Eq na wewe bana. Just call them for what they are....
This is a sad newsAl Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English
Ipo hapo kama breaking news....
Saif,mtoto wa gaddaffi is no more....NATO strike!
There si no doubt that NATO were in a mission to cut off the head. Ila siamini kuwa NATO imeua wajuu wa Gadaffi na mtoto wake kwani vita ya propaganda Gadaffi ni mtaalam sana. Na kwenye stori hii anaonekana kuwapata wengi sana. Just ask yourself, hivi Gadaffi hajui kuwa yeye ni target?, na kwa nini akae sehemu moja na familia yake?, Hata waandashi waliooneshwa bombing site wanakubali kuwa ni vigumu kuthibitisha habari hizi. Inawezakana kabisa Gadaffi has been eliminated but do you think they will announce it to the Public?. Tusiwe wepesi wa kuwa swayed by propaganda from Gadaffi. Time will tell.
Mkuu hata mimi nimejiuliza sana inawezekanaje mtaalamu wa mapigano kama Gadaffi aiyache familia yake ikae kizembezembe hivyo huku akijua kua yeye ni Target?Mi nashawishika kuamini kua hizi ni mbinu za kivita ili NATO ianze kusomeka kivingine napengine apate watetezi au na yeye ajaribu kuchomoa kombola kubwakubwa kwa kisingizio cha kuuliwa kwa lovely son wake.
Mbona siku mingi tu Gadaffi alishasema kamawakimzingua anataka kulipua hadi visima vya mafuta na tayari familia yake ilisha ondoka injini humo sasa huyo mtotowake alikua kama ndondocha au? Bravo NATO
Tatizo la hawa madikteta wengi wanatumia makazi yao kama command centre sometimes.....sasa kama kuna mtu kutoka kwenye hayo makazi alitoa amri kwa pro gaddafi soldiers wawashambulie rebels, ilo tendo linafanya hiyo nyumba iwe target.Kwanini wapige nyumba za kuishi kwani nazo zina fly? mwanzoni walisema Tanks za Gaddafi zina fly.
Wapuuzi sana NATO. Wao wangetuambia tu wanaenda vitani kumpiga Gadaffi, na sio eti ku enforce no flying zone. Mbona wahasi wa joseph Kone hawawasaidii? Ila nako
wataingia siku si nyingi si kumepatikana mafuta.
Kwanini wapige nyumba za kuishi kwani nazo zina fly? mwanzoni walisema Tanks za Gaddafi zina fly.
Wapuuzi sana NATO. Wao wangetuambia tu wanaenda vitani kumpiga Gadaffi, na sio eti ku enforce no flying zone. Mbona wahasi wa joseph Kone hawawasaidii? Ila nako wataingia siku si nyingi si kumepatikana mafuta.
Wakuambie wewe ili iweje? Wao wanajua mission yao sawa na khadafi anavyojua ya kwake. Just sit back and wait for the end result ya hii kitu