EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Wakuu mmebarikiwa sana na mungu wa mbinguni hakuna laana.
Huyu jamaa aitwaye saido ntibanzokiza aliletwa na yanga akitokea huko kwao Burundi baada ya kumaliza kucheza soka Ulaya.
Wakati anakuja sisi mashabiki tulimpa sifa zote ukizngatia huwa anafanya vema kwenye timu yake ya taifa.
Huyu jamaa binafsi nilianza kumuona ni wa ajabu ajabu siku ile ametokea benchi kocha akiwa Mwambusi baada ya kufunga goal akiomba kutoka huku akimuonyeshea kocha ishara ya kwamba kocha hatumii akili maana yake mzee Mwambusi hana akili kama haikutosha alionekana kama anamkejeri na kaseke kisa tu kaseke anaanza first eleven.
Imekuja kugundulika huyu jamaa ni ana kiburi na dharau si kwa kocha tu bali mpaka kwa wachezaji wenzie anawaona hawajui kitu na ni makapuku na hakuna wa kumuweka benchi.
Saido huyuhuyu msimu uliopita tulikuwa naye hakuna cha maana alifanya na mara nyingi alikuwa anatokea benchi kwa kifupi toka ametua yanga kikubwa bnafsi ninachokikumbuka ni kitendo cha kumtoa akili mzee mwambusi.
Uwanjani hakuna makubwa amewahi fanya yanga hata ukimuweka hapo na kaseke bado kaseke kafanya makubwa kuliko saido.
Huwa nawashangaa mashabiki wanaolalamika kuhusu huyu jamaa kuwekwa nje na nabi as if wao wanajua sana kuliko kocha mnadhani kocha ye hapendi timu yake ishinde atengeneze cv yake anawezaje kumuweka benchi saido ikiwa ye ndo anaweza kuamua matokeo jibu ni kwamba uwezo wa saido ni kwasasa kulinganisha na wachezaji wanaomiweka benchi hana uwezo wa kumuweka benchi moloko wala feitoto wala yacouba wala farid huo uwezo hana na hapo sjamtaka kaseke.
Saido kukaba hawezi anakata moto mapema sana mechi ngumu hana msaada wowote ule uwanjani na ndo alikuwaga anaanzishiwa benchi.
Utamskia mjinga mmoja anasema moloko akae benchi au yacouba akae benchi ampishe saido sjui kwa lipi hasa alilonalo saido.
Nategemea msimu huu mkataba wake ukiisha anapewa mkono wa kwaheri wanaomtaka waambatane naye burundi huko kusiko na tozo za mwigulu.
Nakaribisha povu na maoni.
Huyu jamaa aitwaye saido ntibanzokiza aliletwa na yanga akitokea huko kwao Burundi baada ya kumaliza kucheza soka Ulaya.
Wakati anakuja sisi mashabiki tulimpa sifa zote ukizngatia huwa anafanya vema kwenye timu yake ya taifa.
Huyu jamaa binafsi nilianza kumuona ni wa ajabu ajabu siku ile ametokea benchi kocha akiwa Mwambusi baada ya kufunga goal akiomba kutoka huku akimuonyeshea kocha ishara ya kwamba kocha hatumii akili maana yake mzee Mwambusi hana akili kama haikutosha alionekana kama anamkejeri na kaseke kisa tu kaseke anaanza first eleven.
Imekuja kugundulika huyu jamaa ni ana kiburi na dharau si kwa kocha tu bali mpaka kwa wachezaji wenzie anawaona hawajui kitu na ni makapuku na hakuna wa kumuweka benchi.
Saido huyuhuyu msimu uliopita tulikuwa naye hakuna cha maana alifanya na mara nyingi alikuwa anatokea benchi kwa kifupi toka ametua yanga kikubwa bnafsi ninachokikumbuka ni kitendo cha kumtoa akili mzee mwambusi.
Uwanjani hakuna makubwa amewahi fanya yanga hata ukimuweka hapo na kaseke bado kaseke kafanya makubwa kuliko saido.
Huwa nawashangaa mashabiki wanaolalamika kuhusu huyu jamaa kuwekwa nje na nabi as if wao wanajua sana kuliko kocha mnadhani kocha ye hapendi timu yake ishinde atengeneze cv yake anawezaje kumuweka benchi saido ikiwa ye ndo anaweza kuamua matokeo jibu ni kwamba uwezo wa saido ni kwasasa kulinganisha na wachezaji wanaomiweka benchi hana uwezo wa kumuweka benchi moloko wala feitoto wala yacouba wala farid huo uwezo hana na hapo sjamtaka kaseke.
Saido kukaba hawezi anakata moto mapema sana mechi ngumu hana msaada wowote ule uwanjani na ndo alikuwaga anaanzishiwa benchi.
Utamskia mjinga mmoja anasema moloko akae benchi au yacouba akae benchi ampishe saido sjui kwa lipi hasa alilonalo saido.
Nategemea msimu huu mkataba wake ukiisha anapewa mkono wa kwaheri wanaomtaka waambatane naye burundi huko kusiko na tozo za mwigulu.
Nakaribisha povu na maoni.