Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,280
Kupitia Runinga leo nimetazama mechi ya Ruvu dhidi ya Yanga, Nilichokiona cha maana leo ni goli la Saido Ntibazonjiza "antibiotic akipiga free kick maridhawa kabisa, nikimtazama vizuri alijiamini mno, body language inaonesha alidhamiria kuupeleka wapi mpira, curve yake si ya kubahatisha kwani ni kama anarudia tu.
Nilipomaliza kumtazama na ufundi wake nikamkumbuka mkali wa krosi na kona Carlinhos, Nikamkumbuka fundi BM23, nikakumbuka Curve zenye nguvu kutoka kwa Konde boy Mickson bila kusahau soft touch zile za kama "Dochi" mpira ukisimama za Triple C Lusaka. At the same time anasubiriwa Djuma Shaban kuja kufanya hayo hayo ya kumwaga maji kiufundi kabisa.
Nikaanza kujiuliza mbona huu ujuzi umeyeyuka kwa wachezaji wetu wa ndani?. Ni nani sasa hivi anaweza kuogopwa akutenga mpira kama wakati ule wa kina Abdi Kassim Babi, Zamoyoni Mogella, Sekilojo fundi, Edibily J. Nakumbuka hata George Masatu alikuwa anaipatia sana hii. Sijahitaji kuwataja kina Nteze na hao wa nyuma zaidi ambao ikiwekwa free kick mnahesabu nusu goli, robo anakosa na robo inakula mti au kipa anatema.
What wente wrong na Free kickers wetu? Au ni yaleyale ya Thadeo Lwanga kuchukua namba ya Mkude na Mukoko Tonombe kumziba Zawadi Mauya.
What went wrong?
Nilipomaliza kumtazama na ufundi wake nikamkumbuka mkali wa krosi na kona Carlinhos, Nikamkumbuka fundi BM23, nikakumbuka Curve zenye nguvu kutoka kwa Konde boy Mickson bila kusahau soft touch zile za kama "Dochi" mpira ukisimama za Triple C Lusaka. At the same time anasubiriwa Djuma Shaban kuja kufanya hayo hayo ya kumwaga maji kiufundi kabisa.
Nikaanza kujiuliza mbona huu ujuzi umeyeyuka kwa wachezaji wetu wa ndani?. Ni nani sasa hivi anaweza kuogopwa akutenga mpira kama wakati ule wa kina Abdi Kassim Babi, Zamoyoni Mogella, Sekilojo fundi, Edibily J. Nakumbuka hata George Masatu alikuwa anaipatia sana hii. Sijahitaji kuwataja kina Nteze na hao wa nyuma zaidi ambao ikiwekwa free kick mnahesabu nusu goli, robo anakosa na robo inakula mti au kipa anatema.
What wente wrong na Free kickers wetu? Au ni yaleyale ya Thadeo Lwanga kuchukua namba ya Mkude na Mukoko Tonombe kumziba Zawadi Mauya.
What went wrong?