mkokotoaji
Member
- Nov 26, 2013
- 54
- 10
TUSADIE MAENDELEO YA JIMBO LA KALENGA.
Wadau Mimi ni mwanainchi wa Jimbo la tajwa hapo juu,naomba kwa Hali na Mali tusadie maendeleo ya Jimbo kwa kuhakikisha maji salama,afya na kuwasisitiza viongozi wetu kuona umuhimu wa huduma za afya na maji hasa kwa Mbunge wetu kutembelea Jimbo hili na kuhakikisha huduma za maji na bararbara zinapatikana
Mh Mbunge ni Rai yetu kuhakikisha unatutumikia na kuhakikisha huduma za maji kwa Jimbo letu zinapatikana,huduma ya barabara pia ya kalenga mpka kibebe.
Ni maoni yetu utasikiliza kero hizi na kuzitatua
By@mkokotoaji
Wadau Mimi ni mwanainchi wa Jimbo la tajwa hapo juu,naomba kwa Hali na Mali tusadie maendeleo ya Jimbo kwa kuhakikisha maji salama,afya na kuwasisitiza viongozi wetu kuona umuhimu wa huduma za afya na maji hasa kwa Mbunge wetu kutembelea Jimbo hili na kuhakikisha huduma za maji na bararbara zinapatikana
Mh Mbunge ni Rai yetu kuhakikisha unatutumikia na kuhakikisha huduma za maji kwa Jimbo letu zinapatikana,huduma ya barabara pia ya kalenga mpka kibebe.
Ni maoni yetu utasikiliza kero hizi na kuzitatua
By@mkokotoaji