SAIDI YAKUBU aamua kufunga blog yake

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Mwenzetu, ndugu yetu na mwana familia wa JF bwana SAIDI YAKUBU ama maarufu kama SY ameamua kufunga blog yake na hajatoa sababu zozote za msingi zaidi ya kuwa sababu binafsi

na mie kwa masikitiko sijui la kusema maana Yakubu kwa kweli alikuwa amejarib kuleta balance of power kwenye hizi blog za watanzania.

Je kuna mwana JF mwenye blog? basi tunaomba link zenu na SY kama unasoma hili hebu njoo utuelezee kilichokusibu kabla our own inhouse conspiracy theorists hawajaingia kazini

 
Wana JF wenye blogu tupo wengi sana, sema sasa katika blogu zetu tunatumia majina halisi, anuani halisi, barua pepe na namba za simu, tofauti na hapa JF. Sasa tukisema tukupatie viungo vya blogu zetu kwa sisi wengine itakuwa mshike mshike na sirikali, hasa sisi wakosoaji. Kwa ujumla JF ina 'reputation' mbaya sana sirikalini na tunaogopwa sana.
Hii itatufanya tusiwe huru sana mitaani, kwani huenda maisha yetu binafsi yatachunguzwa na wasioitakia JF maendeleo.
Kwa mimi ni hayo tu.
 
Ilibdi kwa kweli, tutamkosa sana. I hope atamwachia mtu mwingine aiendeleze in a different identity.
 
Once a blogger you will always be a blogger, infact Yakub hasn't showed up at JF either for a while now, of course he might have assumed a new ID already, but all in all his blog was a useful source of information. Sad to see him close it down for undisclosed reasons. Only hope that he does well wherever he takes his ideas, views and opinions. My only farewell bid to him is 'sharing is caring'. Goodluck Saidi.

SteveD.
 
yupo hai au amefariki maana kufunga blog kuna maana nyingi na hata mimi nimeweka website yangu ktk wasia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom