Saidi Nguba: mwandishi 'ANAYEFICHA' habari

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Ukiona mpaka huyu mzee anabeba bango ujue kuwa keshachoka

SITAKI mwandishi wa habari anayeficha habari. Huyu ni rafiki yetu wa siku nyingi, Said Nguba ambaye amekuwa mwandishi wa habari wa Waziri Mkuu kwa miaka miwili sasa.

Katikati ya wiki hii, Nguba alinukuliwa na vyombo vya habari akikiri kutoalikwa waandishi wa habari kwenye makabidhiano ya ofisi kati ya Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na yule wa sasa, Mizengo Pinda.

Eti hakukuwa na habari katika tukio hilo ndio maana hakuita waandishi, lakaini alipeleka picha ya tukio hilo ikionyesha Lowasss ana Pinda wamekumbatiana; tena kwa kicheko cha "pasua mbavu."

http://www.ndimara.blogspot.com/
 
Sijakuelewa unataka kusema nini labda wadau mmeelewa ntawasoma baadae.
 
Back
Top Bottom