kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
Hakuna cha kuchunguza hapa, mauaji haya yamesababishwa na ubishi wa CDM - full stop.
kwenye msafara wa mamba kenge nao wamo, usishangae Jf na wenda wazmu nao wamo
Hakuna cha kuchunguza hapa, mauaji haya yamesababishwa na ubishi wa CDM - full stop.
CHANZO, habari kwa ufupi ya chanel ten!
Hao polisi wapo miaka yote na hawaui watu hivi. Hao polisi ni kama mbwa wanaotekeleza amri kutoka mamlaka ya juu. na ujue kuwa wakuu wa serikali ya CCM ni ma-boss wa hao polisi. Na hizo ruksa za kuua zinatoka Kwa government officials ambao ni CCM. Kama kuna polisi unayemfahamu muulize kama yeye binafsi anaweza akaamua tu kumpiga mtu risasi uone atakupa majibu gani?I disagreee
Polisi wamemjeruhi Dr Ulimboka then wao wanachunguza
Polisi wameuwa muuza magazeti wao ndo wanajichunguzo
polisi ndo wamamuua Mwandishi wa Channel ten wao ndo wanachunguza
I support CCM with our goverment but this is rubbish
Polisi wanapaka matope chama chetu cha mapinduzi
I disagreee
Polisi wamemjeruhi Dr Ulimboka then wao wanachunguza
Polisi wameuwa muuza magazeti wao ndo wanajichunguzo
polisi ndo wamamuua Mwandishi wa Channel ten wao ndo wanachunguza
I support CCM with our goverment but this is rubbish
Polisi wanapaka matope chama chetu cha mapinduzi
Hakuna cha kuchunguza hapa, mauaji haya yamesababishwa na ubishi wa CDM - full stop.
Kweli shetani akizeeka anakuwa Malaika, yaani huyu Marelia Sugu amekuwa na ubinadamu leo na kuwakana Policcm!!??
jamani chenel ten nao wamenishangaza mie.nilikuwa nasikiliza dw nikasikia mahojiano kuhusu mwangosi,eti sio mwajiliwa wa kudumu amekuwa akifanya kama part time almost miaka sita.jamani kweli mtu anakufanyia kazi mda wote huu hujaona uhalali wa kumwajili!duh.kazi tunayo tunaotgemea ajira.
Sugu Marelia@mareliasugu.comHapo kwenye REd una maana gani?
Hakuna cha kuchunguza hapa, mauaji haya yamesababishwa na ubishi wa CDM - full stop.