Kuna mauji ya makusudi yamefanyika akiwa IGP. Tunajua hakufanya yeye, lakini hakuna hatua alizochukua kuwawajibisha waliofanya mauaji hayo. Kitendo hicho kinachochea mauji zaidi pia ni matumizi mabaya ya madaraka yake.
Mauji ktk maandamano ya Arusha, Mauaji ya Mwangosi, Mauji ya watu mikononi mwa polisi na haya ya opereisheni Tokomeza. Nakubuka kina Kijobi Simba walipereka ushaidi wa picha za marehemu Mwangosi UN, nadhani wana ushaidi wa kutosha kumfikisha huyu mahakamani.
Tuanze na huyu tafadhari ili liwe fundisho kwa wengine. Akipandishwa huyu mahakamani najua akina Kamuhanda na Andengenye watafuata. Tafadhari wanasheria jazia penye mapungufu tushinikize issue hii.
Mauji ktk maandamano ya Arusha, Mauaji ya Mwangosi, Mauji ya watu mikononi mwa polisi na haya ya opereisheni Tokomeza. Nakubuka kina Kijobi Simba walipereka ushaidi wa picha za marehemu Mwangosi UN, nadhani wana ushaidi wa kutosha kumfikisha huyu mahakamani.
Tuanze na huyu tafadhari ili liwe fundisho kwa wengine. Akipandishwa huyu mahakamani najua akina Kamuhanda na Andengenye watafuata. Tafadhari wanasheria jazia penye mapungufu tushinikize issue hii.