hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
hahaaaa manina wallahTatizo la Said ni fikra za umasikini , amekulia kwenye familia yenye njaa sana .
Kiukweli masikini hafai kuwa meneja hata wa club ya bao .
hahaaaa manina wallahTatizo la Said ni fikra za umasikini , amekulia kwenye familia yenye njaa sana .
Kiukweli masikini hafai kuwa meneja hata wa club ya bao .
Huku Temeke kuna tetesi kwamba jamaa ni mchawi balaa !hahaaaa manina wallah
Huna akili kabisa,so wasanii wote waende kujiunga na wcb ? Au waache kuimba wawachie wcb? Stupid mindLawama hizi zinadhihirisha game imewashinda sasa,mmetoa nyimbo mfululizo zinafanana mpaka kero,mmeanza kutafuta pa kufia
KOMAENI NA HALI ZENU BANAAA,MJINI NI WCB TU FULL UBUNIFU FULL KUTANUA SOKO,MAMBO YA SIJUI CHUKI,KAUNGANEN UPYA NA TEAM ZENU ZILE ZA KINA KIBAKULI,JOJO KINA WEMA NA H.BABA PAMOJA NA BOB JUNIOR MMETAWANYIKA KAMA NYUMBU
Unamtolea nan povu wewe,acha tabia za ubunuasi,chuki ni mwanzo wa ushirikina,jirekebisheHuna akili kabisa,so wasanii wote waende kujiunga na wcb ? Au waache kuimba wawachie wcb? Stupid mind
Huo ndio ukweli .
Mkuu kwa huu utiririkaji na usererekaji wako ni kwamba 100% unaonekana Wewe ni Mtu wa karibu sana na Dogo Aslay. Tafadhali unaweza kuniulizia Kwake au kama Wewe unaweza kumjibia basi si vibaya kwamba kwani Dogo Aslay akiwa anaimba anapenda sana kubana Pua, Kurembua macho na kujibinuabinua sana makalio / matako huku akijilambalamba mno mdomo?
Nitashukuru nikijibiwa haya maswali yangu ' Kuntu ' kabisa.
Huna akili kabisa,so wasanii wote waende kujiunga na wcb ? Au waache kuimba wawachie wcb? Stupid mind
Kwahiyo kumbe tatizo ni nini basi?!Huna akili kabisa,so wasanii wote waende kujiunga na wcb ? Au waache kuimba wawachie wcb? Stupid mind
Acha kusikiliza porojo manake ukimsoma vizuri wala haieleweki hoja yake ni nini hasa!!!Duhh hatari aisehh kama ni kweli wanafanya hivi kuharibu muziki so bad!
Unajua watu wanapenda kulia kulia hata pasipostahili! Tena huyu Aslay hapa hapa JF niliwahi kusema watu waache kumvimbisha kichwa... dogo bado sana!! Manake only few weeks ago watu walikuwa wanazungumzia zama za Diamond za mwisho wa Diamond zimefika eti kisa Aslay!!!Kwahiyo ulitaka mboso asipate pa kwenda. Halfu mboso na mondi wapo karibu siku nyingi.
Aslay pambana na hali yako. Nyimbo zako zinapigwa sana usitafute kupata huruma ya umma. Wivu tu ulifikiri wenzio hawatapata channels
Wewe ni mtu mpumbavuMkuu kwa huu utiririkaji na usererekaji wako ni kwamba 100% unaonekana Wewe ni Mtu wa karibu sana na Dogo Aslay. Tafadhali unaweza kuniulizia Kwake au kama Wewe unaweza kumjibia basi si vibaya kwamba kwani Dogo Aslay akiwa anaimba anapenda sana kubana Pua, Kurembua macho na kujibinuabinua sana makalio / matako huku akijilambalamba mno mdomo?
Nitashukuru nikijibiwa haya maswali yangu ' Kuntu ' kabisa.