Kama kitu hujui bora uulize tu.Niseme kuwa ni Fella na Diamond ndiyo waliosababisha Yamoto Band Kufa.
Kama ambavyo ilikuwa kwa Wanaume family kuvunjika, chanzo ilikuwa ni Said Fella mwenyewe. Na si Juma Nature kama ambavyo tuliamini ni bangi za washikaji zilizingua tu.
Fella wewe ni mtu mzima sana, Fikiria maisha ya vijana wadogo Yamoto Band kosa lao ni lipi. Hakuna anayetilia shaka umewakuza na kuwalea ndiyo ilikuwa nafasi yako kama Meneja.
Soko la muziki limetanuka kwasasa kuna platform mbalimbali za kuuza mziki hii wewe umechelewa sana, Geuka tena Fella uwezo wa kuamua nani awe Msanii mkali, haupo tena. Unachoweza kufanya ni kupanga Dj gani asicheze wimbo lakini huwezi kuzuia nani asisikilize.
Tusitumie nguvu ya Wasafi kuhakikisha tunazuia uwezo wa Aslay. Ndiyo maana bila aibu Diamond anamtumia Maromboso leo baada ya kuhakikisha Yamoto Band imekufa, Fella wewe ni sehemu ya mkakati huu na Diamond alikuwa mshauri wa Yamoto.
Ni Diamond huyu huyu anayemnyima nafasi Maromboso kukutana na wenzake wa Yamoto. Sallam na Fella hawana mikakati thabiti wamejawa hofu ili Wasafi waendele kutambua ni kugawa pesa kwa Dj nyimbo za Aslay zisichezwe.
Wahenga walisema kuwa ni wachache sana wanaoweza kuachana na hulka zao. Pamoja na harakati za Fella kugonga mwamba, kuna taarifa za kuaminika kuwa eti Fella anataka 10% ya malipo ya kazi za kina Aslay wakiwa nje ya Yamoto Band.
Kama ni majipu, basi Sallam na Tale ni moja ya majipu sugu. Wamekuwa tayari kuhakikisha kuhujumu wasanii wadogoo wanaong'aa. Ni Tale aliyeshindwa kuing'arisha Tip Top na Fella aliyeshindwa kuibeba Yamoto Band. Wameungana kumdondosha Aslay.
Fella geuka nyuma tena.
Niseme kuwa ni Fella na Diamond ndiyo waliosababisha Yamoto Band Kufa.
Kama ambavyo ilikuwa kwa Wanaume family kuvunjika, chanzo ilikuwa ni Said Fella mwenyewe. Na si Juma Nature kama ambavyo tuliamini ni bangi za washikaji zilizingua tu.
Fella wewe ni mtu mzima sana, Fikiria maisha ya vijana wadogo Yamoto Band kosa lao ni lipi. Hakuna anayetilia shaka umewakuza na kuwalea ndiyo ilikuwa nafasi yako kama Meneja.
Soko la muziki limetanuka kwasasa kuna platform mbalimbali za kuuza mziki hii wewe umechelewa sana, Geuka tena Fella uwezo wa kuamua nani awe Msanii mkali, haupo tena. Unachoweza kufanya ni kupanga Dj gani asicheze wimbo lakini huwezi kuzuia nani asisikilize.
Tusitumie nguvu ya Wasafi kuhakikisha tunazuia uwezo wa Aslay. Ndiyo maana bila aibu Diamond anamtumia Maromboso leo baada ya kuhakikisha Yamoto Band imekufa, Fella wewe ni sehemu ya mkakati huu na Diamond alikuwa mshauri wa Yamoto.
Ni Diamond huyu huyu anayemnyima nafasi Maromboso kukutana na wenzake wa Yamoto. Sallam na Fella hawana mikakati thabiti wamejawa hofu ili Wasafi waendele kutambua ni kugawa pesa kwa Dj nyimbo za Aslay zisichezwe.
Wahenga walisema kuwa ni wachache sana wanaoweza kuachana na hulka zao. Pamoja na harakati za Fella kugonga mwamba, kuna taarifa za kuaminika kuwa eti Fella anataka 10% ya malipo ya kazi za kina Aslay wakiwa nje ya Yamoto Band.
Kama ni majipu, basi Sallam na Tale ni moja ya majipu sugu. Wamekuwa tayari kuhakikisha kuhujumu wasanii wadogoo wanaong'aa. Ni Tale aliyeshindwa kuing'arisha Tip Top na Fella aliyeshindwa kuibeba Yamoto Band. Wameungana kumdondosha Aslay.
Fella geuka nyuma tena.
Unawasiwasi kwamba ni chakulaaMkuu kwa huu utiririkaji na usererekaji wako ni kwamba 100% unaonekana Wewe ni Mtu wa karibu sana na Dogo Aslay. Tafadhali unaweza kuniulizia Kwake au kama Wewe unaweza kumjibia basi si vibaya kwamba kwani Dogo Aslay akiwa anaimba anapenda sana kubana Pua, Kurembua macho na kujibinuabinua sana makalio / matako huku akijilambalamba mno mdomo?
Nitashukuru nikijibiwa haya maswali yangu ' Kuntu ' kabisa.
Unawasiwasi kwamba ni chakulaa
Uzi mzitoNiseme kuwa ni Fella na Diamond ndiyo waliosababisha Yamoto Band Kufa.
Kama ambavyo ilikuwa kwa Wanaume family kuvunjika, chanzo ilikuwa ni Said Fella mwenyewe. Na si Juma Nature kama ambavyo tuliamini ni bangi za washikaji zilizingua tu.
Fella wewe ni mtu mzima sana, Fikiria maisha ya vijana wadogo Yamoto Band kosa lao ni lipi. Hakuna anayetilia shaka umewakuza na kuwalea ndiyo ilikuwa nafasi yako kama Meneja.
Soko la muziki limetanuka kwasasa kuna platform mbalimbali za kuuza mziki hii wewe umechelewa sana, Geuka tena Fella uwezo wa kuamua nani awe Msanii mkali, haupo tena. Unachoweza kufanya ni kupanga Dj gani asicheze wimbo lakini huwezi kuzuia nani asisikilize.
Tusitumie nguvu ya Wasafi kuhakikisha tunazuia uwezo wa Aslay. Ndiyo maana bila aibu Diamond anamtumia Maromboso leo baada ya kuhakikisha Yamoto Band imekufa, Fella wewe ni sehemu ya mkakati huu na Diamond alikuwa mshauri wa Yamoto.
Ni Diamond huyu huyu anayemnyima nafasi Maromboso kukutana na wenzake wa Yamoto. Sallam na Fella hawana mikakati thabiti wamejawa hofu ili Wasafi waendele kutambua ni kugawa pesa kwa Dj nyimbo za Aslay zisichezwe.
Wahenga walisema kuwa ni wachache sana wanaoweza kuachana na hulka zao. Pamoja na harakati za Fella kugonga mwamba, kuna taarifa za kuaminika kuwa eti Fella anataka 10% ya malipo ya kazi za kina Aslay wakiwa nje ya Yamoto Band.
Kama ni majipu, basi Sallam na Tale ni moja ya majipu sugu. Wamekuwa tayari kuhakikisha kuhujumu wasanii wadogoo wanaong'aa. Ni Tale aliyeshindwa kuing'arisha Tip Top na Fella aliyeshindwa kuibeba Yamoto Band. Wameungana kumdondosha Aslay.
Fella geuka nyuma tena.
wama hizi zinadhihirisha game imewashinda sasa,mmetoa nyimbo mfululizo zinafanana mpaka kero,mmeanza kutafuta pa kufiaNiseme kuwa ni Fella na Diamond ndiyo waliosababisha Yamoto Band Kufa.
Kama ambavyo ilikuwa kwa Wanaume family kuvunjika, chanzo ilikuwa ni Said Fella mwenyewe. Na si Juma Nature kama ambavyo tuliamini ni bangi za washikaji zilizingua tu.
Fella wewe ni mtu mzima sana, Fikiria maisha ya vijana wadogo Yamoto Band kosa lao ni lipi. Hakuna anayetilia shaka umewakuza na kuwalea ndiyo ilikuwa nafasi yako kama Meneja.
Soko la muziki limetanuka kwasasa kuna platform mbalimbali za kuuza mziki hii wewe umechelewa sana, Geuka tena Fella uwezo wa kuamua nani awe Msanii mkali, haupo tena. Unachoweza kufanya ni kupanga Dj gani asicheze wimbo lakini huwezi kuzuia nani asisikilize.
Tusitumie nguvu ya Wasafi kuhakikisha tunazuia uwezo wa Aslay. Ndiyo maana bila aibu Diamond anamtumia Maromboso leo baada ya kuhakikisha Yamoto Band imekufa, Fella wewe ni sehemu ya mkakati huu na Diamond alikuwa mshauri wa Yamoto.
Ni Diamond huyu huyu anayemnyima nafasi Maromboso kukutana na wenzake wa Yamoto. Sallam na Fella hawana mikakati thabiti wamejawa hofu ili Wasafi waendele kutambua ni kugawa pesa kwa Dj nyimbo za Aslay zisichezwe.
Wahenga walisema kuwa ni wachache sana wanaoweza kuachana na hulka zao. Pamoja na harakati za Fella kugonga mwamba, kuna taarifa za kuaminika kuwa eti Fella anataka 10% ya malipo ya kazi za kina Aslay wakiwa nje ya Yamoto Band.
Kama ni majipu, basi Sallam na Tale ni moja ya majipu sugu. Wamekuwa tayari kuhakikisha kuhujumu wasanii wadogoo wanaong'aa. Ni Tale aliyeshindwa kuing'arisha Tip Top na Fella aliyeshindwa kuibeba Yamoto Band. Wameungana kumdondosha Aslay.
Fella geuka nyuma tena.
Hebu fafanua hapa...Tusitumie nguvu ya Wasafi kuhakikisha tunazuia uwezo wa Aslay. Ndiyo maana bila aibu Diamond anamtumia Maromboso leo baada ya kuhakikisha Yamoto Band imekufa, Fella wewe ni sehemu ya mkakati huu na Diamond alikuwa mshauri wa Yamoto.
Yaani hii nchi ina watu wa ajabu sana! Halafu nimeshindwa kuelewa wanapoongizwa WCB na Mamboroso... ni kwamba alitaka WCB wasimchukue Mamboroso au wasimtangaze.. au nini hasa!!!Huu nao ni uongo mtupu...nyimbo gani ya Aslay ambayo inazuiwa isichezwe? mbona kila leo zinapigwa? acheni kuchonganisha watu