Saibaba ya mwisho Dar - Arusha - Dar ni hovyo kabisa lakini bado watu wanaipenda sana

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wanaoishi mikoa ya kaskazini Arusha na Kilimanjaro siyo wageni sana wa kampuni ya mabasi ya Saibaba!

Kuna Saibaba ya mwisho kutoka Dar to Arusha and Vice versa! Shida tupu. Halinaga haraka na mtu, taaratibu kama kinyonga.

Mara nyingi linaondoka Moshi / Dar saa 7 mchana bila wasiwasi wowote.

Huko njiani sasa, linapakia kila kituo. Likifika kituo chochote linasimama muda mrefuuu bila aibu.

Walishazoea ukitoka Dar lazima Arusha uingie saa 630 mpaka 7 usiku.Vivyo hivyo kama unaelekea Dar.Na njia yake kuu ni ile ya Chalinze.

Na abiria wengi huwa wamelewa, kila kituo ni kuchimba dawa mwanzo mwisho. Hawana wasiwasi.

Saibaba ya mwisho adha sana.Kama huna emergency usipande kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaoishi mikoa ya kaskazini Arusha na Kilimanjaro siyo wageni sana wa kampuni ya mabasi ya Saibaba!

Kuna Saibaba ya mwisho kutoka Dar to Arusha and Vice versa! Shida tupu. Halinaga haraka na mtu, taaratibu kama kinyonga.

Mara nyingi linaondoka Moshi / Dar saa 7 mchana bila wasiwasi wowote.

Huko njiani sasa, linapakia kila kituo. Likifika kituo chochote linasimama muda mrefuuu bila aibu.

Walishazoea ukitoka Dar lazima Arusha uingie saa 630 mpaka 7 usiku.Vivyo hivyo kama unaelekea Dar.Na njia yake kuu ni ile ya Chalinze.

Na abiria wengi huwa wamelewa, kila kituo ni kuchimba dawa mwanzo mwisho. Hawana wasiwasi.

Saibaba ya mwisho adha sana.Kama huna emergency usipande kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilo ni basi la walevi huwa wanamuambia kabisaaa mzee mwamedi tuandalie chakula pombe tunazo wenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa hilo kwa watu wa dharura ni zuri sana kwakweli we hujajua uzuri wake,kuna wadau hua ikifika Ijumaa muda wa saa sita akitoka zake kazini basi analikimbilia hilo saibaba anashinda zake Jumamosi na ikifika mchana Jumapili anarudi nalo hilo basi na Jumatatu utamkuta zake yupo kazini,wachage na wa arachuga wanalipenda sana,na hua linajaza iwe wakati wa kwenda ama kurudi,Tuachie basi letu linatusaidia sana
 
Hahaha mimi kipindi hicho nipo tz nikiwa naenda dar mabasi yangu yalikuwa Ni meridian au dar express
Baadae nikapata ka Rav 4 kangu Mungu mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna issue fulani muhimu ya ghafla nilikuwa nimepigiwa simu nikiwa Moshi nije Dar,nikawa sina jinsi na gari yangu niliiacha Dar ikabidi niwahi Town fasta ndio nikakutana na hilo ngalangala kunguni qa kumwaga,nikaona bila kuwapigia vyombo nitapata taabu sana,nikawatafutia Kilimanjaro za kopo za kutosha ndio Safari ikawa nzuri but sidhani kama nitakuja kulipanda tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa hilo kwa watu wa dharura ni zuri sana kwakweli we hujajua uzuri wake,kuna wadau hua ikifika Ijumaa muda wa saa sita akitoka zake kazini basi analikimbilia hilo saibaba anashinda zake Jumamosi na ikifika mchana Jumapili anarudi nalo hilo basi na Jumatatu utamkuta zake yupo kazini,wachage na wa arachuga wanalipenda sana,na hua linajaza iwe wakati wa kwenda ama kurudi,Tuachie basi letu linatusaidia sana
Tatizo wajitahidi kulifanyia usafi,maana seat covers zake zimechoka kishenzi plus hao wadudu hatarishi wakina kunguni na company zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom