Sahihisho: CHADEMA walitumia Tshs 240m kwenye M4C- Pamoja Daima na siyo bilioni

Mwikimbi

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,762
825
Yameandikwa mengi kuhusu operesheni pamoja daima, wako walioandika wamepewa pesa nje ya nchi, na wengine eti wametumia zaidi ya bilioni kumshughulikia zito

ukweli ni huu

1. Zilitumika chopa tatu, mbili zzilikodiwa toka kenya ambazo zitaipwa taratibu, na moja ya mh. Ndesamburo, gharama za chopa zilkuwa ni shilingi 8m kwa siku na kwa kuwa hazikufika masaa tisa kwa siku gharama zimepunguwa sana zote tatu hazitazidi 140m.

2. Chopa hizi zitalipwa kwa awamu na jinsi pesa zitakavyopatikana huenda denni hili likalipwa kwa mwaka mzima ili shughuli nyingine za chama kama kupeleka pesa mikoani kusiathiriwe.

3. Gharama zote za operesheni hazifiki 250m


source: Mimi mwenyewe jikoni niliko.

Ccm wanashangaaa kwa kuwa kwa ufisadi wao operesheni kama hii wangetumia bilioni tano
 
Yameandikwa mengi kuhusu operesheni pamoja daima, wako walioandika wamepewa pesa nje ya nchi, na wengine eti wametumia zaidi ya bilioni kumshughulikia zito

ukweli ni huu

1. Zilitumika chopa tatu, mbili zzilikodiwa toka kenya ambazo zitaipwa taratibu, na moja ya mh. Ndesamburo, gharama za chopa zilkuwa ni shilingi 8m kwa siku na kwa kuwa hazikufika masaa tisa kwa siku gharama zimepunguwa sana zote tatu hazitazidi 140m.

2. Chopa hizi zitalipwa kwa awamu na jinsi pesa zitakavyopatikana huenda denni hili likalipwa kwa mwaka mzima ili shughuli nyingine za chama kama kupeleka pesa mikoani kusiathiriwe.

3. Gharama zote za operesheni hazifiki 250m


source: Mimi mwenyewe jikoni niliko.

Ccm wanashangaaa kwa kuwa kwa ufisadi wao operesheni kama hii wangetumia bilioni tano

We muongo weka nyaraka.
 
CDM tunafanya yetu, na madamu zilitumika kukiimalisha chama, hata zingetumika bilion, fine

CCM tulia muote moto wa CHADEMA.
 
Yameandikwa mengi kuhusu operesheni pamoja daima, wako walioandika wamepewa pesa nje ya nchi, na wengine eti wametumia zaidi ya bilioni kumshughulikia zito

ukweli ni huu

1. Zilitumika chopa tatu, mbili zzilikodiwa toka kenya ambazo zitaipwa taratibu, na moja ya mh. Ndesamburo, gharama za chopa zilkuwa ni shilingi 8m kwa siku na kwa kuwa hazikufika masaa tisa kwa siku gharama zimepunguwa sana zote tatu hazitazidi 140m.

2. Chopa hizi zitalipwa kwa awamu na jinsi pesa zitakavyopatikana huenda denni hili likalipwa kwa mwaka mzima ili shughuli nyingine za chama kama kupeleka pesa mikoani kusiathiriwe.

3. Gharama zote za operesheni hazifiki 250m


source: Mimi mwenyewe jikoni niliko.

Ccm wanashangaaa kwa kuwa kwa ufisadi wao operesheni kama hii wangetumia bilioni tano

Kwa kumshughulikia anayetaka kupunguza spidi kuelekea ukombozi ni pesa kidogo saaana.
 
Hakuna kufanana kokote kati ya Wizi wa mali za Umma na Uendeshaji wa shughuli za chama. Chama wanatumia fedha za wakeleketwa na ruzuku kidogo ya serikali, lakini viongozi wa kisiasa serikalini na watumishi wa umma wanatafuna fedha za walipa kodi ambao ni wananchi maskini kabisa.
 
Yameandikwa mengi kuhusu operesheni pamoja daima, wako walioandika wamepewa pesa nje ya nchi, na wengine eti wametumia zaidi ya bilioni kumshughulikia zito

ukweli ni huu

1. Zilitumika chopa tatu, mbili zzilikodiwa toka kenya ambazo zitaipwa taratibu, na moja ya mh. Ndesamburo, gharama za chopa zilkuwa ni shilingi 8m kwa siku na kwa kuwa hazikufika masaa tisa kwa siku gharama zimepunguwa sana zote tatu hazitazidi 140m.

2. Chopa hizi zitalipwa kwa awamu na jinsi pesa zitakavyopatikana huenda denni hili likalipwa kwa mwaka mzima ili shughuli nyingine za chama kama kupeleka pesa mikoani kusiathiriwe.

3. Gharama zote za operesheni hazifiki 250m


source: Mimi mwenyewe jikoni niliko.

Ccm wanashangaaa kwa kuwa kwa ufisadi wao operesheni kama hii wangetumia bilioni tano

Kazi iliyofanywa na M4C Operations Pamoja Daima ni ya kupongezwa, kuna watu vijijini walikuwa hawajui jinsi maboya wa ccm wanavyoitafuna nchi yetu. Wanaohoji gharama za chopa wamekosa hoja
 
Demokrasia ni gharama. hata ingekuwa bil.1 poa tu. Nnachotaka ccm itoke haraka sana. Mengine baadae. Na hii gharama haiwahusu kwan imechukuliwa serikalin? Moto watauona mwendo mdundo.
 
Kumbe chopa kukodi mil 8 per day?hebu nipeni email za makampuni ya kukodi niwe napiga misele yangu kwa chopa.
 
Wadanganye misukule wa chadema siyo watanzania

Hiyo 240mil ni perdiem tu mkuu

Taarifa ni nzuri kwa misukule changia chadema ili sisi tupate tender zetu vizuri
 
Yameandikwa mengi kuhusu operesheni pamoja daima, wako walioandika wamepewa pesa nje ya nchi, na wengine eti wametumia zaidi ya bilioni kumshughulikia zito

ukweli ni huu

1. Zilitumika chopa tatu, mbili zzilikodiwa toka kenya ambazo zitaipwa taratibu, na moja ya mh. Ndesamburo, gharama za chopa zilkuwa ni shilingi 8m kwa siku na kwa kuwa hazikufika masaa tisa kwa siku gharama zimepunguwa sana zote tatu hazitazidi 140m.

2. Chopa hizi zitalipwa kwa awamu na jinsi pesa zitakavyopatikana huenda denni hili likalipwa kwa mwaka mzima ili shughuli nyingine za chama kama kupeleka pesa mikoani kusiathiriwe.

3. Gharama zote za operesheni hazifiki 250m


source: Mimi mwenyewe jikoni niliko.

Ccm wanashangaaa kwa kuwa kwa ufisadi wao operesheni kama hii wangetumia bilioni tano

tunataka Mwenyekiti wa CHADEMA ndo atupe takwimu sahihi siyo Mwenyekiti wa jikoni. Mwenyekiti wa jikoni takwimu kampe Mume wako ndo anakupa pesa za matumizi.
 
Yameandikwa mengi kuhusu operesheni pamoja daima, wako walioandika wamepewa pesa nje ya nchi, na wengine eti wametumia zaidi ya bilioni kumshughulikia zito

ukweli ni huu

1. Zilitumika chopa tatu, mbili zzilikodiwa toka kenya ambazo zitaipwa taratibu, na moja ya mh. Ndesamburo, gharama za chopa zilkuwa ni shilingi 8m kwa siku na kwa kuwa hazikufika masaa tisa kwa siku gharama zimepunguwa sana zote tatu hazitazidi 140m.

2. Chopa hizi zitalipwa kwa awamu na jinsi pesa zitakavyopatikana huenda denni hili likalipwa kwa mwaka mzima ili shughuli nyingine za chama kama kupeleka pesa mikoani kusiathiriwe.

3. Gharama zote za operesheni hazifiki 250m


source: Mimi mwenyewe jikoni niliko.

Ccm wanashangaaa kwa kuwa kwa ufisadi wao operesheni kama hii wangetumia bilioni tano

Kulikuwa n umuhimu gani wa kukodisha Ndege kwa ajili ya OPD? Huu niufijajii wa fedha wa waziwazi.
 
Wadanganye misukule wa chadema siyo watanzania

Hiyo 240mil ni perdiem tu mkuu

Taarifa ni nzuri kwa misukule changia chadema ili sisi tupate tender zetu vizuri

Hivi hawa CHADEMA mbona hawaeleweki? wanakodisha ndege halafu wanakwnda kumchangisha maskini na sh. 100 yake kwenye mikutano ya hadhara? Huu ni ujinga kabisa uliopindukia.
 
CHADEMA kinaingia kwenye madeni kila uchao, wakati hata fedha walizokopa kutoka vyanzo mbalimbali kwa ajili ya kampeni 2010 hawajamaliza kulipa.
 
Hakuna kufanana kokote kati ya Wizi wa mali za Umma na Uendeshaji wa shughuli za chama. Chama wanatumia fedha za wakeleketwa na ruzuku kidogo ya serikali, lakini viongozi wa kisiasa serikalini na watumishi wa umma wanatafuna fedha za walipa kodi ambao ni wananchi maskini kabisa.

sia hilo tu kamanda,maccm yana fisadi miradi ya maendeleo!
 
Yameandikwa mengi kuhusu operesheni pamoja daima, wako walioandika wamepewa pesa nje ya nchi, na wengine eti wametumia zaidi ya bilioni kumshughulikia zito

ukweli ni huu

1. Zilitumika chopa tatu, mbili zzilikodiwa toka kenya ambazo zitaipwa taratibu, na moja ya mh. Ndesamburo, gharama za chopa zilkuwa ni shilingi 8m kwa siku na kwa kuwa hazikufika masaa tisa kwa siku gharama zimepunguwa sana zote tatu hazitazidi 140m.

2. Chopa hizi zitalipwa kwa awamu na jinsi pesa zitakavyopatikana huenda denni hili likalipwa kwa mwaka mzima ili shughuli nyingine za chama kama kupeleka pesa mikoani kusiathiriwe.

3. Gharama zote za operesheni hazifiki 250m


source: Mimi mwenyewe jikoni niliko.

Ccm wanashangaaa kwa kuwa kwa ufisadi wao operesheni kama hii wangetumia bilioni tano
Kamanda weka basi mchanganuo wa hesabu zako.

Rubani wanalipwa kiasi gani?

Mafuta ya Chopa kiasi?

Posho za viongozi kiasi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom