bwege nazi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 700
- 901
Hata Mimi nashindwa kuelewa kabisa mkuu mana hata kama ni shida hii ya kwetu imepitilizaSikuzote kenge hasikii mpaka sikio lipasuke na aone damua
Hii ilikuwa kabla ya ile ya Moro ukimsikiliza vizuri mleta taarifaNawaza tu au ndio wameelewana kinachofanyika ni kuchota mafuta pekee na si kuiba betri. Teh Teh
Mkuu sio editing hiyo watanzania tupo kama kuku, unampiga teke mda huo huo anarudi hapo hapoAiseeee!!! Kama haijaeditiwa hii video hao watu ni zaidi ya vichwa ngumu.
Ooh. Sasa nimesikiliza vizuri Mkuu ni tarehe 14 ya mwezi July . 🙏🙏🙏 Wakati hii ya Morogoro ilikuwa mwezi huu.Hii ilikuwa kabla ya ile ya Moro ukimsikiliza vizuri mleta taarifa
Ila hii ni ya mwezi wa saba Mkuu. Kasema mwezi July humo ndani ila tarehe ni kama ya jana.Mkuu sio editing hiyo watanzania tupo kama kuku, unampiga teke mda huo huo anarudi hapo hapo
Kazi sio mbaya wenye hatari hao wanaokwenda huko kwenye kichwa hao ndio wa kuwaogopa...
14 July,2019 Kabla ya Morogoro. Watu comment kwanza kusikiliza baadae JF raha Sana.Hii ilikuwa kabla ya ile ya Moro ukimsikiliza vizuri mleta taarifa