kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,293
- 12,593
Sudani Kusini ndani ya Sudani ilikuwa na hadhi, raha na amani kuliko ilivyo sasa nje ya Sudani. Kutokana na mafuta yao Sudani Kusini ilidanganywa na wanyang'anyi ili wajitenge na Sudani ili waweze kujizolea mafuta yao, sasa hivi wanaitamani Sudan waliyoikimbia. Wanauana nchi yote inanuka damu kila kona. Sahara Magharibi nao wanachochewa na matapeli ili wajitenge na Morocco ili yapate urahisi wa kuyavabua mafuta yao kiulaini ambayo kwasasa wanashindwa kutia mkono kwasababu ya kuwa chini ya Morocco.
Believe me, kama Sahara ikijitenga watauana na kutamani tena kuungana na Morocco. AU ni ndumila kuwili, huku wanahimiza Afrika kuungana na hapohapo wanawachochea watu wajitenge.
Siungi mkono Sahara kujitenga, kama kuna matatizo ya kikatiba wakae wazungumze badala ya kutafuta Uhuru upya. Hata Palestine na Israel ingekuwa vizuri wangeungana na kutengeneza taifa moja kubwa na lenye nguvu lenye tamaduni mbalimbali badala ya kutafuta Palestine na Israel yawe mataifa mawili tofauti kwani kiasili Wayahud na wapelestina wana uhusiano wa karibu na undugu kwanini dunia inawachochea watengane badala ya kuungana na kuubakiza uhuru wao wa kuabudu palepale?
Believe me, kama Sahara ikijitenga watauana na kutamani tena kuungana na Morocco. AU ni ndumila kuwili, huku wanahimiza Afrika kuungana na hapohapo wanawachochea watu wajitenge.
Siungi mkono Sahara kujitenga, kama kuna matatizo ya kikatiba wakae wazungumze badala ya kutafuta Uhuru upya. Hata Palestine na Israel ingekuwa vizuri wangeungana na kutengeneza taifa moja kubwa na lenye nguvu lenye tamaduni mbalimbali badala ya kutafuta Palestine na Israel yawe mataifa mawili tofauti kwani kiasili Wayahud na wapelestina wana uhusiano wa karibu na undugu kwanini dunia inawachochea watengane badala ya kuungana na kuubakiza uhuru wao wa kuabudu palepale?