TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
============
Mjadala huu umefungwa kwa sasa (kwakuwa imebainika ni upotoshaji: Majibu ya CHADEMA yapo hapa - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-vikuu;-kusema-uongo-ni-kazi-wanayoiweza.html
============
Katika moja ya vitu ambavyo CHADEMA inatajwa sana ni juu ya upangaji wa safu zake za uongozi wa kukibeba na kukiendeleza chama hicho. Kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa hapa nchini CHADEMA nao wanapanga safu zao za uongozi katika sehemu mbalimbali nchini.,moja ya sehemu hizo ni uongozi katika matawi ya chama hicho katika vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu hapa nchini.
Hivi karibuni wamepanga safu za viongozi wao ambao watakisimamia chama hiko kwa kipindi cha miaka 5 ijayo. na safu ya Viongozi hao ni kama ifuatavyo;
(i) University of Dodoma maarufu kama UDOM ni ELISANTE MUSHI.,
(ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni JAMES KIMARO.
(iii) Sokoine University of Agriculture (SUA) ni JOHN KIMARIO.
(iv) Chuo Kishiriki cha DUCE ni ELIBARIKI MUSHI.
(v) Chuo Kikuu cha MZUMBE ni FRANCIS TAIRO.
(vi) Chuo cha Teknolojia Dar es salaam (DIT) ni ABSOLOM TEMBA.
(vii) Chuo kikuu Cha Mtakatifu Joseph (ST JOSEPH) ni JAMES URIO.
(viii) Chuo Kikuu kishiriki cha JURDAN UNIVERSITY ni ESTER MASAWE.
(ix) Chuo kikuu Cha Mtakatifu John (ST JOHN) ni GEORGE KIMAMBO.
Hawa ni baadhi tu ya viongozi katika safu mpya ya viongozi wa Chama Cha demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA. Kwa majina tu ya viongozi hao mtu mwenye ufahamu wa watanzania na asili zao anaweza kung'amua mara moja kuwa Chama Hiki kimejikita katika Kukuza na kuimarisha Kabila fulani na kulipa nguvu katika uongozi wa Chama Hiko.
Hii inatafsiri nyingi lakini pia inasababu nyingi.,moja ya tafsiri ni kuwa watu wa kabila hili ndio pekee wenye kukipenda zaidi chama hiki hivyo hujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za uongozi na hivyo kuwafanya wengi kuwa wao katika safu za uongozi wa chama hicho, lakini pia inawezekana kabisa kuwa ni sura ya UKABILA iliyopo katika chama hicho ndio inayowapa nguvu watu wa kabila la wachaga katika kuwania na kushinda nafasi mbalimbali na kuongoza chama hicho. Jambo ambalo kwa muda mrefu sasa limekuwa likitajwa na kupigiwa kelele.
Ama juu ya sababu ya hili ni kuwa, waanzilishi waasisi wa Chama walikijenga chama chao katika mtazamo wa kikabila na kikanda zaidi.,Dhana ya Unafsi ilitawala wakati wa uanzilishi wa chama hiki na hivyo kuwapa nafasi watoto wa waanzilishi na jamaa zao kuona kuwa chama hicho ni chao. Wakajitoa kukipigania na kukitetea.
Lakini kwa lugha yeyote.,tafsiri yeyote ama sababu yeyote utakayoitoa haiwezi kujustify mambo haya kupewa nafasi katika Taifa lenye misingi ya Ujamaa na uzalendo. Misingi ambayo inakinzana na namna yeyote ile ya upendeleo ama ubaguzi.
Kwa hili mnalolifanya CHADEMA vyuo vikuu mnakaa vipi kuwa chama hiki si chama cha kikabila na kidini..,TAFAKARI CHUKUA HATUA...!
Mjadala huu umefungwa kwa sasa (kwakuwa imebainika ni upotoshaji: Majibu ya CHADEMA yapo hapa - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-vikuu;-kusema-uongo-ni-kazi-wanayoiweza.html
============
Katika moja ya vitu ambavyo CHADEMA inatajwa sana ni juu ya upangaji wa safu zake za uongozi wa kukibeba na kukiendeleza chama hicho. Kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa hapa nchini CHADEMA nao wanapanga safu zao za uongozi katika sehemu mbalimbali nchini.,moja ya sehemu hizo ni uongozi katika matawi ya chama hicho katika vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu hapa nchini.
Hivi karibuni wamepanga safu za viongozi wao ambao watakisimamia chama hiko kwa kipindi cha miaka 5 ijayo. na safu ya Viongozi hao ni kama ifuatavyo;
(i) University of Dodoma maarufu kama UDOM ni ELISANTE MUSHI.,
(ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni JAMES KIMARO.
(iii) Sokoine University of Agriculture (SUA) ni JOHN KIMARIO.
(iv) Chuo Kishiriki cha DUCE ni ELIBARIKI MUSHI.
(v) Chuo Kikuu cha MZUMBE ni FRANCIS TAIRO.
(vi) Chuo cha Teknolojia Dar es salaam (DIT) ni ABSOLOM TEMBA.
(vii) Chuo kikuu Cha Mtakatifu Joseph (ST JOSEPH) ni JAMES URIO.
(viii) Chuo Kikuu kishiriki cha JURDAN UNIVERSITY ni ESTER MASAWE.
(ix) Chuo kikuu Cha Mtakatifu John (ST JOHN) ni GEORGE KIMAMBO.
Hawa ni baadhi tu ya viongozi katika safu mpya ya viongozi wa Chama Cha demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA. Kwa majina tu ya viongozi hao mtu mwenye ufahamu wa watanzania na asili zao anaweza kung'amua mara moja kuwa Chama Hiki kimejikita katika Kukuza na kuimarisha Kabila fulani na kulipa nguvu katika uongozi wa Chama Hiko.
Hii inatafsiri nyingi lakini pia inasababu nyingi.,moja ya tafsiri ni kuwa watu wa kabila hili ndio pekee wenye kukipenda zaidi chama hiki hivyo hujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za uongozi na hivyo kuwafanya wengi kuwa wao katika safu za uongozi wa chama hicho, lakini pia inawezekana kabisa kuwa ni sura ya UKABILA iliyopo katika chama hicho ndio inayowapa nguvu watu wa kabila la wachaga katika kuwania na kushinda nafasi mbalimbali na kuongoza chama hicho. Jambo ambalo kwa muda mrefu sasa limekuwa likitajwa na kupigiwa kelele.
Ama juu ya sababu ya hili ni kuwa, waanzilishi waasisi wa Chama walikijenga chama chao katika mtazamo wa kikabila na kikanda zaidi.,Dhana ya Unafsi ilitawala wakati wa uanzilishi wa chama hiki na hivyo kuwapa nafasi watoto wa waanzilishi na jamaa zao kuona kuwa chama hicho ni chao. Wakajitoa kukipigania na kukitetea.
Lakini kwa lugha yeyote.,tafsiri yeyote ama sababu yeyote utakayoitoa haiwezi kujustify mambo haya kupewa nafasi katika Taifa lenye misingi ya Ujamaa na uzalendo. Misingi ambayo inakinzana na namna yeyote ile ya upendeleo ama ubaguzi.
Kwa hili mnalolifanya CHADEMA vyuo vikuu mnakaa vipi kuwa chama hiki si chama cha kikabila na kidini..,TAFAKARI CHUKUA HATUA...!