VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dr. John Pombe Magufuli amepuliza tarumbeta chamani. Tarumbeta la mabadiliko. Kutakuwa na mabadiliko kwenye Kamati Kuu na Sekretarieti. Vikao vimeshaitishwa.
Makada waandamizi chamani tumeshatakiwa kuwasilisha CV zetu kufuatia mapendekezo ya muendelezo ya kichama. Kwa upepo ulivyo,umahiri na msimamo wangu,naweza kuchomoza Kamati Kuu au Sekretarieti.
Tunalenga kwa kuringa kufanya mabadiliko yenye mashiko chamani. Mniombee nipenye na kutumikia vyema chama chetu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Makada waandamizi chamani tumeshatakiwa kuwasilisha CV zetu kufuatia mapendekezo ya muendelezo ya kichama. Kwa upepo ulivyo,umahiri na msimamo wangu,naweza kuchomoza Kamati Kuu au Sekretarieti.
Tunalenga kwa kuringa kufanya mabadiliko yenye mashiko chamani. Mniombee nipenye na kutumikia vyema chama chetu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam